Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Rich mavoko alifukuzwa sio kuondoka,

Ndo maana kafulia, mizimu imechukia.
Nilichogundua wengi hatufikirii sana msanii wa kwanza alikuwa rich mavoko sio harmonize
 
Juzikati Pale alipohojiwa na Soud Brown akawa ana mchecheto kinoma adi akaongea maneno nikaona yakienda kwa team members mwenzake kama Rayvann ambaye nae alipata mtoto hivi karibuni lazma amaind" au hata chibu
Harmo alisema "kunatofauti yakuzaa mtoto, na kuzaa mtoto wakizungu" kisa yeye kamtia mimba mzungu
Hivi hiyo mimba iliishiaga wapi?
 
Waganga Wa kienyeji hawa.... Tuko nao wengi sana humu..!!!

Ha ha ha Haa...
 
Back
Top Bottom