Wee jamaa unamuonea wivuu kisaa ana mke mzungu ......itakuwa ndugu yake wolper ww....!!Mkuu sina Wivu na Harmonize kwa sababu..Kufanikiwa kwakwe au kutokufanikiwa kwake Hakuna Impact yoyote kwangu...Pili yeye ni msanii na mm nina kazi nyingine tofauti kabisaa na Usanii nimuone wivu wanini? Yeye ana Mpenzi wake mzungu mimi wangu muafrika wivu wa nini? Anaishi Dar mimi naishi mkoani huko nitamuoneaje wivu
Filisika tujue tabia za mkeo.Pata pesa tujue tabia yako
Hiyo mistress uliyojivika na kumwaga povu hapa bado unadai maisha yake hayana impact kwake?si unaona umeshaanza comparison na contrast ya wake zenu yeye mzungu wako mbantu,stress huzo baba za maisha ya watu umezivagaa!Mkuu sina Wivu na Harmonize kwa sababu..Kufanikiwa kwakwe au kutokufanikiwa kwake Hakuna Impact yoyote kwangu...Pili yeye ni msanii na mm nina kazi nyingine tofauti kabisaa na Usanii nimuone wivu wanini? Yeye ana Mpenzi wake mzungu mimi wangu muafrika wivu wa nini? Anaishi Dar mimi naishi mkoani huko nitamuoneaje wivu
Asante kwa kufukua kaburi. Pia mleta mada alisahau uzi wake angerudi hapa ile siku ilivotokea jamaa akajienguaHaya mkuu danya hatimae utabiri wako ukatimia na tuseme amin