Utabiri umetimiaNgoja tusubiri utabiri wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto ameshabarehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sheikh Yahya azaliwa upya
AiseeUnajua kuna kuzaa mtoto na kuna kuzaa mtoto mzungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kabisa mzeeWalio comment pumba mrudi kimya kimya mzifute
Rich Mavoko na Harmonize yupi kaanza kuondoka?
No matter wa kwanza au wanne,but main point ni kuondoka wcbNilichogundua wengi hatufikirii sana msanii wa kwanza alikuwa rich mavoko sio harmonize
Nilichogundua wengi hatufikirii sana msanii wa kwanza alikuwa rich mavoko sio harmonize
Hivi hiyo mimba iliishiaga wapi?Juzikati Pale alipohojiwa na Soud Brown akawa ana mchecheto kinoma adi akaongea maneno nikaona yakienda kwa team members mwenzake kama Rayvann ambaye nae alipata mtoto hivi karibuni lazma amaind" au hata chibu
Harmo alisema "kunatofauti yakuzaa mtoto, na kuzaa mtoto wakizungu" kisa yeye kamtia mimba mzungu
Ngoja tusubiri utabiri wako
Chinga awezi kukubali kurudi, kula samaki nchanga
Umetimia tayari.
Waganga Wa kienyeji hawa.... Tuko nao wengi sana humu..!!!
Ha ha ha Haa...
Kweli broTime