Harmonize atakuwa msanii wa kwanza kujitenga WCB

Rich mavoko alifukuzwa sio kuondoka,

Ndo maana kafulia, mizimu imechukia.
Nilichogundua wengi hatufikirii sana msanii wa kwanza alikuwa rich mavoko sio harmonize
 
Hivi hiyo mimba iliishiaga wapi?
 
Waganga Wa kienyeji hawa.... Tuko nao wengi sana humu..!!!

Ha ha ha Haa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…