Inayobana ni nini hapo?
watu wa mtwara na nani? jisemee mwenyewe,binafsi nasema hivi kijana huyu nje ya wcb kumantain hii status yake ni ngumu,wcb inambeba sana kwa kila.kitu....kwa sisi tunaofahamu ukweli hatuna maneno mengi sana,tunaangalia mchezo tu unavyoenda..🙏Sisi watu wa mtwara tunampenda sana harmonize na atafikisha views hata milion 10
sio nyimbo ni wimbo,zikiwa nyingi nyimbo,waya-nyaya,moyo-nyoyo..hukusoma Kiswahili s.msingi!?Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Wewe utakua mchawi au unaroho ya kichawi sana.Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶
Angalia kichupa hapa
Mbna mnaanza kusingizia mapema, unafkr nan hapend kufanya hvo ili apae, kama kuna kununua view bas anunue na yy,Anafikishaje wakati wale mnaowalipis bundle wapo upande ule .... Yaani hi inadhihirisha kama kweli ni michezo yao wcb ....
Aah aah aah! Una maswali yakichokoziKuna mtu yoyote anaweza kunielezea ile Inabana ft Chamillion iliishia wapi?
[emoji1] aisee...ni nyimbo kabisaa!Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Ukiona wameandika FEATURING eg Eddy Kenzo featuring Harmonize (Nyimbo ya Eddy amemshirikisha Harmonize),ila hii ni Eddy Kenzo X Harmonize (Nyimbo ni ya wote Harmonize na Eddy Kenzo).Nyimbo ya eddy kenzo msichoelewa ni nini hapo