mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶
Angalia kichupa hapa
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶
Angalia kichupa hapa