Harmonize awakera Wakenya, afanya interview na wanahabari kwa dakika 3

Kuimba anajua, lkn aache dharau za kijinga
Tusimlaumu labda alikuwa na njaa unajua kula mihogo asubuhi na chipsi mayai chamcha ndiyo kawaida yao mwili haupati nguvu za kutosha hivyo kupelekea kinywa kugoma kutamka maneno
 

Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.
 
Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.

Kenya ni shamba la bibi when comes into the issue of music industry ,that’s why many tz musicians want to exploit that market
 
Wakenya kwa sasa hawana ujanza....hamuwezi kuzuia mafuriko kwa mikono.....tumewashikapabaya....subirini muda uamue
 
Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.
Hela mnazo ziko wapi? ...kibera slums???...tumewashika pabaya kimziki....subirini muda uamue....ingizeni mikia yenu kwenye makalio kwa sasa
 
Tatizo wanalipwa shingapi...badhan umenielewa, m.r eazi mwenyewe kaseme akiitwa show kwao na kenya ataacha ya naija atakuja kenya
Kabla ya kuropoka kishabiki Ili ujipe matumaini hakikisha kwanza Umefanya kautafiti angalau,
Ingia YouTube search show za wasanii wa bongo za nje na ndani,
Bila kusahau show kubwa EA and Central Africa fiesta show.
 
"Ameshawapita akina Mondi na Kiba." Kwenye kitu gani haswa?
 
Kabisa mkuu...mtu hufanya juu chini ndio asikike katika soko letu...wakenta wanajua kulipa wasaanii vizuri
Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.
 
Kwani na nyie hamna za kwenu? Si muwanyanyue pia. Pathetic!
 
Ni bongo fleva iliwapa wivu wa kuanzisha sijui mziki gani unaitwa magengeni sijui hata ulifiaga wapi na yule juakali ndio alieanzisha, kipindi hicho bongo fleva ipo International tayari wao walikua wanaimba kilugha tu
 
Kwa hivyo wewe upo kwenye hii industry? Mbona jina lako halifahamiki? πŸ˜„πŸ˜„
 
Sasa mbona mlianzisha campaign ya play Kenyan music?
 
Show za uk na marekani hazina hela yyte usijidanganye jomba
 
Watupe ushahidi wa msanii wao mkubwa kufanya shoo hata hapo SA tu, mimi ngoja nimpe ya huyu dogo kufanya show Gambia (sold out show)
 
Kwani yeye ndiye kaleta slums au njaa Kenya?Umasikini wako usi kufanye kuwa na mawazo mgando
Mawazo yako chachu yasikufanye ujione mjanja. Nakujua wewe ndio yule anayeosha choo cha jamii pale Tandale.
 
Huko Kenya mkuu hata hawapostiani, kushare content ya msanii mwenzake hakuna, hivi huwa wana invents kubwa kubwa za kisanii kama hawa madrama Queens and King's wetu kweli? Mara birthday mara baby shower mara harusi fake yaani huu udambu-udambu wanao kweli? Drama kama hizi ndio zinanogesha entertainment ya Tanzania na kuifanya ixidi kua juu Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…