Harmonize awakera Wakenya, afanya interview na wanahabari kwa dakika 3

Harmonize awakera Wakenya, afanya interview na wanahabari kwa dakika 3

Aaah wapi,
Naona ushaishiwa hoja tayari,
Wapendeni na kuwapa support wasanii wenu,
Huku kwetu siku inaweza isha bila kusikia hata nyimbo moja ya kenya redioni,
Wasanii wetu wanapendana na wanapeana sapoti nzuri ambacho ni kitu kisichowezekana kwa wasanii wenu,
Mlianzisha sheria sijui ya kubalance nyimbo za kucheza kwenye media zenu mkafeli,
Mkaanzisha play ke music nayo mkafeli 😂😂😂

Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.
 
Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.

Kenya ni shamba la bibi when comes into the issue of music industry ,that’s why many tz musicians want to exploit that market
 
Wakenya kwa sasa hawana ujanza....hamuwezi kuzuia mafuriko kwa mikono.....tumewashikapabaya....subirini muda uamue
 
Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.
Hela mnazo ziko wapi? ...kibera slums???...tumewashika pabaya kimziki....subirini muda uamue....ingizeni mikia yenu kwenye makalio kwa sasa
 
Tatizo wanalipwa shingapi...badhan umenielewa, m.r eazi mwenyewe kaseme akiitwa show kwao na kenya ataacha ya naija atakuja kenya
Kabla ya kuropoka kishabiki Ili ujipe matumaini hakikisha kwanza Umefanya kautafiti angalau,
Ingia YouTube search show za wasanii wa bongo za nje na ndani,
Bila kusahau show kubwa EA and Central Africa fiesta show.
 
Dah! Na vile nilikua nimeanza kumkubali huyu dogo dhidi ya Diamond, yaani yeye ndiye amekua habari ya mjini ameshawapita akina Mondi na Kiba, ameanza kuharibika mapema, angesubiri aogelee kwenye misifa walau hata kwa mwaka mmoja.
Au wanahabari wa Kenya walimbabaisha kwa kingereza, unajua pia kingereza huwatesa sana Watz wanaishia ze ze ze...nakumbuka Diamond akihojiwa sehemu kwa kingereza, jamaa aliteseka sana. Ndio matatizo ya hawa madogo wa Tandale, wanatoka kimzuki na kuuaga umaskini ila sasa wanakosa mtu wa kuwaongoza jinsi gani ya kuhusiana na watu.
"Ameshawapita akina Mondi na Kiba." Kwenye kitu gani haswa?
 
Kabisa mkuu...mtu hufanya juu chini ndio asikike katika soko letu...wakenta wanajua kulipa wasaanii vizuri
Nimekuambia sisi huku hatuchezi nyimbo kwa kufuata mfumo wa kuelekezwa kiakili, tunafuata ubora maana pia hela tunazo, ndio maana wasanii wenu ili aage umaskini lazima ajaribu kila namna kusikika kwenye soko la Kenya, maana huko Bongo ni msoto tu.
 
Sasa ndio mumshauri akianza kupokewa na Wakenya asije akaharibu, sisi ndio tumewatengeneza wasanii wenu wote, hakuna msanii wenu yeyote aliyafaulu kuuaga huo umaskini wenu bila kunyanyuliwa na Wakenya, hivyo ashauriwe jinsi gani ya kuhusiana na watu, asahau Utandale na Umbagalla aanze kuwa na tabia za watu wa Oyster Bay na Masaki.
Kwani na nyie hamna za kwenu? Si muwanyanyue pia. Pathetic!
 
Kama wazaire ambao ni magwiji wa muziki hapa Africa wanatambua Afro- bongo, Kenya lazima mtaitambua, kama mliweza kutambua na kusupport "Bongo flavor" pamoja na wivu wenu kwa Tanzania, lakini eti Leo bila aibu mnasema ndio mlotoa support kubwa kwa Bongo flavor, hahahaha.

Sikiliza mzaire hapa akitoa heshima kwa "Afro- bongo"

Ni bongo fleva iliwapa wivu wa kuanzisha sijui mziki gani unaitwa magengeni sijui hata ulifiaga wapi na yule juakali ndio alieanzisha, kipindi hicho bongo fleva ipo International tayari wao walikua wanaimba kilugha tu
 
Shida yenu mna chuki mno na wasanii wenu ndio maana muda wote huwa mnashoboka na wasanii wetu,
Hivi huwa huoni wasanii wetu wanavyojaza show zao popote pale?
Kwenu Mbona hamuwapi support wasanii wenu?
Kingeni mbona wasanii wenu ni nadra sana kuwa nominated kwenye international Awards mbalimbali na hata ikitokea bahati mbaya kuwa nominated huwa hawachukui,
Wasanii wenu wakifanya collaboration na wasanii wetu hata kama nyimbo ni mbaya lazima itafanya vizuri tu,
Videos zao wakitoa hamview hata ndio maana wasanii wenu Wakifikisha views m 1 wanafurahia mno wakati huku kwetu ni kitu cha kawaida sana ,
Wako wapi wasanii wenu wale waliokuwa wanafanya vizuri 2000s mbona mumeshindwa kuwasaidia hao?
Ni unafiki wa hali ya juu kushoboka na vya jirani huku nyumbani kwako ukijifanya hapakuhusu,
Nakumbuka wimbo wa Naiboi ule wa 2 in 1 wasanii wenu kibao walikataa kurekodi zile viclip fupi fupi kwa ajili ya kutengenezea video lakini wasanii wa bongo walimpa support kibao kwa kurekodi viclip, hapa utajiuliza nimemfahamu vipi naiboi, Nilikutana nae Dar miezi michache iliyopita.
Charity begins at home. 😂😂😂
Kwa hivyo wewe upo kwenye hii industry? Mbona jina lako halifahamiki? 😄😄
 
Hehehe Umekimbilia kujificha kwa wasanii wetu, kitu hukijui ni kwamba Kenya hatuendeshwi kwenye zizi moja kama kondoo, hatuna mifumo ya kijinga kama ujamaa, eti nchi yote mnaelekezwa kipi cha kupenda na kipi muache, sisi kila mtu anaa uhuru wa kuchagua, ndio maana unaona tunaskliza miziki ya kote, iwe Nigeria, Bongo au hata Ulaya, yaani ukifanya vizuri tunakupokea.
Sasa mbona mlianzisha campaign ya play Kenyan music?
 
Show za uk na marekani hazina hela yyte usijidanganye jomba
Hahahaha, kwahiyo mnajisifia kwa kuwalipa wanamuzi wa Nigeria na Kenya pesa mingi, wakati wanamziki wenu wa Kenya hamuwalipi pesa yoyote hadi wanaandamana?, ama kweli ninyi ni vichaa, hata London hawalipwi pesa nyingi kama mbavyowalipa Kenya, kwahiyo wakenya na Gambia wanapesa kuliko watu wa London?, Hahahaha, washamba sana ninyi.
 
Shida yenu mna chuki mno na wasanii wenu ndio maana muda wote huwa mnashoboka na wasanii wetu,
Hivi huwa huoni wasanii wetu wanavyojaza show zao popote pale?
Kwenu Mbona hamuwapi support wasanii wenu?
Kingeni mbona wasanii wenu ni nadra sana kuwa nominated kwenye international Awards mbalimbali na hata ikitokea bahati mbaya kuwa nominated huwa hawachukui,
Wasanii wenu wakifanya collaboration na wasanii wetu hata kama nyimbo ni mbaya lazima itafanya vizuri tu,
Videos zao wakitoa hamview hata ndio maana wasanii wenu Wakifikisha views m 1 wanafurahia mno wakati huku kwetu ni kitu cha kawaida sana ,
Wako wapi wasanii wenu wale waliokuwa wanafanya vizuri 2000s mbona mumeshindwa kuwasaidia hao?
Ni unafiki wa hali ya juu kushoboka na vya jirani huku nyumbani kwako ukijifanya hapakuhusu,
Nakumbuka wimbo wa Naiboi ule wa 2 in 1 wasanii wenu kibao walikataa kurekodi zile viclip fupi fupi kwa ajili ya kutengenezea video lakini wasanii wa bongo walimpa support kibao kwa kurekodi viclip, hapa utajiuliza nimemfahamu vipi naiboi, Nilikutana nae Dar miezi michache iliyopita.
Charity begins at home. 😂😂😂
Watupe ushahidi wa msanii wao mkubwa kufanya shoo hata hapo SA tu, mimi ngoja nimpe ya huyu dogo kufanya show Gambia (sold out show)
984be5ecd25043d29c5817b99ce464ea.jpg
 
Kwani yeye ndiye kaleta slums au njaa Kenya?Umasikini wako usi kufanye kuwa na mawazo mgando
Mawazo yako chachu yasikufanye ujione mjanja. Nakujua wewe ndio yule anayeosha choo cha jamii pale Tandale.
 
Aaah wapi,
Naona ushaishiwa hoja tayari,
Wapendeni na kuwapa support wasanii wenu,
Huku kwetu siku inaweza isha bila kusikia hata nyimbo moja ya kenya redioni,
Wasanii wetu wanapendana na wanapeana sapoti nzuri ambacho ni kitu kisichowezekana kwa wasanii wenu,
Mlianzisha sheria sijui ya kubalance nyimbo za kucheza kwenye media zenu mkafeli,
Mkaanzisha play ke music nayo mkafeli 😂😂😂
Huko Kenya mkuu hata hawapostiani, kushare content ya msanii mwenzake hakuna, hivi huwa wana invents kubwa kubwa za kisanii kama hawa madrama Queens and King's wetu kweli? Mara birthday mara baby shower mara harusi fake yaani huu udambu-udambu wanao kweli? Drama kama hizi ndio zinanogesha entertainment ya Tanzania na kuifanya ixidi kua juu Africa
 
Back
Top Bottom