babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Ficha ujinga wako,A wapi...
Mfano nandi tu, kajipendekeza kenya hata haikuchukua mda..sai ana mafanikio size yake...juzi tu kachukua tuzo marekani..
Wakati alipojifungia hko tanzania, alikomaa na tuzo za ndani tu
Hivi unajua nandy alishirika shidano lipi kubwa na Ilikuwa nchi ipi na akajipatia umaarufu na ushindi?