Harmonize bado yuko chini ya Diamond, ni Mbinu za Kibiashara tu

Harmonize bado yuko chini ya Diamond, ni Mbinu za Kibiashara tu

wenye mawazo kama yako wako wachache sana

Though inaweza kuwa coincidence, na vile kwamba Harmonize bado anamchukulia Diamond kama role model wake ndiyo maana anapita kwenye njia zote za jamaa.

All in all, event ilikuwa poa sana.

Binafsi pia napenda jinsi Harmonize anavyo iaddress WCB kwa heshima, na wao pia wameacha vijembe kuelekea kambi ya Harmonize.

Ni muda sasa kazi ziwe zinajibiwa kwa kazi.
 
Hapa nimecheka juzi watu walikua wanamponda burna boy leo wanafurahia hio colabo aiseee

Mimi binafsi naamini hawa watu bifu lao siyo kubwa kama sisi washabiki tunavyotaka liwe, Diamond na kambi yake mpaka sasa sijaona kama wana figisu zozote wanazofanya kwa Harmonize, kitu ambacho siyo cha kawaida.

Inawezekana figisu zipo, na Harmonize kambi yake ikawa strong kiasi cha kupambana nazo, all in all Harmonize kama akiamua kufanya vizuri na kambi yake, ana hiyo potential.
 
Hisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.

Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa mzungumzaji sana, tunajua Wasafu ni watu wa mikakati na hilo wanaliweza sana tu

Kwa nini Harmonize aondoke, Kakua..?, anaweza kujitegemea..?, Ila ni kwamba Harmonize ni Akaunti iliyokuwa inajitosheleza ili iingize kipato sasa kivipi akae na Diamond hapo hapo, Mikakati inaanza ili atoke akajitegemee faida irudi na Media zingine zianze kumsapoti pesa iingie Wasafi huku asilimia kubwa akichukua yeye

Diamond majuzi kasapoti kwa kuposti kava ya Album ya Harmonize kuaminisha mtoto hata akijisaidia huwezi kata mkono, ila kibiashara streaming na dowloads zitaongezeka pesa itakuja nyumbani why nisiposti wakati nina wafuasi wengi,

Media zingine hazichezi nyimbo zangu Diamond ila Dogo atachezwa atapata coverage na Endorsement zinajileta pesa itaingia na Air Wave majina yatakuwa ni Diamond and Harmonize na Hakuna mwingine wakuturinganisha na sisi

Tuone hili,
Diamond- A boy from tandale imetoka tarehe 14/03/2018
Harmonize- Afro East imetoka tarehe 14/03/2020
Diamond A boy from Tandale ina nyimbo 18
Harmonize- Afro East ina nyimbo 18 .
Bado hamuamini Harmonize yupo chini ya Diamond?

Mapovu ruksa, Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki
Huu mda wa kuchambua na kujua idadi ya nyimbo kwa kila mmoja, ungeutumiakutafuta/ kuvumbua dawa ya corvid-19, ungekua tajiri sana.
 
Mimi binafsi naamini hawa watu bifu lao siyo kubwa kama sisi washabiki tunavyotaka liwe, Diamond na kambi yake mpaka sasa sijaona kama wana figisu zozote wanazofanya kwa Harmonize, kitu ambacho siyo cha kawaida.

Inawezekana figisu zipo, na Harmonize kambi yake ikawa strong kiasi cha kupambana nazo, all in all Harmonize kama akiamua kufanya vizuri na kambi yake, ana hiyo potential.
sawa sawa
 
Huu mda wa kuchambua na kujua idadi ya nyimbo kwa kila mmoja, ungeutumiakutafuta/ kuvumbua dawa ya corvid-19, ungekua tajiri sana.
nisaidie wewe kuvumbua hiyo Dawa, mimi hili nimeona ndio linanifaa
 
Though inaweza kuwa coincidence, na vile kwamba Harmonize bado anamchukulia Diamond kama role model wake ndiyo maana anapita kwenye njia zote za jamaa.

All in all, event ilikuwa poa sana.

Binafsi pia napenda jinsi Harmonize anavyo iaddress WCB kwa heshima, na wao pia wameacha vijembe kuelekea kambi ya Harmonize.

Ni muda sasa kazi ziwe zinajibiwa kwa kazi.
kazi kazi tu ndio kilichobaki
 
WEWE NDIO UMEONA KAMA MIMI...

LENGO NI KUMTOA ALIKIBA KWENYE MIDOMO YA WATU KUPITIA DIAMOND...

DIAMOND AMEMTOA HARMONIZE MBAKI MNO... NA KATIKA WASANII WAKE WOTE.. HUYO NDIO ALIKUWA AKIMPENDA SANAAA....

KAMCHEZO TU WAMECHEZESHWA MEDIA ZA BONGO...

KWA SABABU WALIKUWA WANAMTAFUTA MTU WA KUMSHINDANISHA NA DIAMOND... KIBA WALIKUWA WANAFORCE TU... WALIJARIBU HATA KWA ASLAY WAMEFELI...

ILA KWA HARMONIZE WAMEJIKOROGA MASKINI
Hisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.

Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa mzungumzaji sana, tunajua Wasafu ni watu wa mikakati na hilo wanaliweza sana tu

Kwa nini Harmonize aondoke, Kakua..?, anaweza kujitegemea..?, Ila ni kwamba Harmonize ni Akaunti iliyokuwa inajitosheleza ili iingize kipato sasa kivipi akae na Diamond hapo hapo, Mikakati inaanza ili atoke akajitegemee faida irudi na Media zingine zianze kumsapoti pesa iingie Wasafi huku asilimia kubwa akichukua yeye

Diamond majuzi kasapoti kwa kuposti kava ya Album ya Harmonize kuaminisha mtoto hata akijisaidia huwezi kata mkono, ila kibiashara streaming na dowloads zitaongezeka pesa itakuja nyumbani why nisiposti wakati nina wafuasi wengi,

Media zingine hazichezi nyimbo zangu Diamond ila Dogo atachezwa atapata coverage na Endorsement zinajileta pesa itaingia na Air Wave majina yatakuwa ni Diamond and Harmonize na Hakuna mwingine wakuturinganisha na sisi

Tuone hili,
Diamond- A boy from tandale imetoka tarehe 14/03/2018
Harmonize- Afro East imetoka tarehe 14/03/2020
Diamond A boy from Tandale ina nyimbo 18
Harmonize- Afro East ina nyimbo 18 .
Bado hamuamini Harmonize yupo chini ya Diamond?

Mapovu ruksa, Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana walijaribu kumweka karibu hamo na kiba... Lkn imeshindikana... Kiba ni mtu mzima anaelewa ila ndio ivo akili za michezo hana...

Astaafu tu mziki atulizane kwenye ibada...
Wasafi ni ny*ko wamemzima kilaini sana kipenseli na huu mchezo wote anaujua ndio maana anamdisi sana Diamond ipo siku atauanika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninacho jiuliza mimi ivi harmonize collabo na Morgan haritage ameipataje na ikumbukwe morgan kuna kipindi walikuj bongo na walionekan na harmonize studio kipind harmonize yuk WCB na ata collabo yake na yemi alade ameifanya akiwa WCB lakin imekuja achiwa baada ya kutok wcb kiukwel kuna kitu hapa kina jificha maan WCB ni wazee wa fitna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom