Harmonize bado yuko chini ya Diamond, ni Mbinu za Kibiashara tu

Harmonize bado yuko chini ya Diamond, ni Mbinu za Kibiashara tu

ndugu yenu anakufa kifo cha mende teeh😃.
Hivi bado mnaamini kuwa kuna msanii atamtoa alikiba kwenye game,hilo sahau.mwendo wa alikiba ndio huohuo anakaa kimya akiludi anasepa na kijiji hicho ndio kimemfanya kubaki kwenye game mpaka leo...

hafanyi mziki kwa sababu fulani eti afanye vile nimshushe yule hapo ndio wengi walipo mshindwa.akitoa kitu utawasahau hao jirani zako kwanza ni mtunzi mzuri yaani kuandika ni kipaji ndio maana hajawahi kutoa ngoma mbovu.analijua game la bongo liko na linatakiwa liendaje.ndio maana alikiba anajulikana kwa mziki.atembelei nyota ya mtu,eti nikiwa na demu yule nitaongeza umaalufu.
 
WEWE NDIO UMEONA KAMA MIMI...

LENGO NI KUMTOA ALIKIBA KWENYE MIDOMO YA WATU KUPITIA DIAMOND...

DIAMOND AMEMTOA HARMONIZE MBAKI MNO... NA KATIKA WASANII WAKE WOTE.. HUYO NDIO ALIKUWA AKIMPENDA SANAAA....

KAMCHEZO TU WAMECHEZESHWA MEDIA ZA BONGO...

KWA SABABU WALIKUWA WANAMTAFUTA MTU WA KUMSHINDANISHA NA DIAMOND... KIBA WALIKUWA WANAFORCE TU... WALIJARIBU HATA KWA ASLAY WAMEFELI...

ILA KWA HARMONIZE WAMEJIKOROGA MASKINI

Sent using Jamii Forums mobile app
hatari sana, JICHO PEVU
 
Ninacho jiuliza mimi ivi harmonize collabo na Morgan haritage ameipataje na ikumbukwe morgan kuna kipindi walikuj bongo na walionekan na harmonize studio kipind harmonize yuk WCB na ata collabo yake na yemi alade ameifanya akiwa WCB lakin imekuja achiwa baada ya kutok wcb kiukwel kuna kitu hapa kina jificha maan WCB ni wazee wa fitna

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahha hapo ndio unajua hujui
 
Hivi bado mnaamini kuwa kuna msanii atamtoa alikiba kwenye game,hilo sahau.mwendo wa alikiba ndio huohuo anakaa kimya akiludi anasepa na kijiji hicho ndio kimemfanya kubaki kwenye game mpaka leo...
hafanyi mziki kwa sababu fulani eti afanye vile nimshushe yule hapo ndio wengi walipo mshindwa.akitoa kitu utawasahau hao jirani zako kwanza ni mtunzi mzuri yaani kuandika ni kipaji ndio maana hajawahi kutoa ngoma mbovu.analijua game la bongo liko na linatakiwa liendaje.ndio maana alikiba anajulikana kwa mziki.atembelei nyoya ya mtu,eti nikiwa na demu yule nitaongeza umaalufu.
anasepa na kijiji, kwanini asisepe na wilaya au mkoa..?
 
Hivi bado mnaamini kuwa kuna msanii atamtoa alikiba kwenye game,hilo sahau.mwendo wa alikiba ndio huohuo anakaa kimya akiludi anasepa na kijiji hicho ndio kimemfanya kubaki kwenye game mpaka leo...
hafanyi mziki kwa sababu fulani eti afanye vile nimshushe yule hapo ndio wengi walipo mshindwa.akitoa kitu utawasahau hao jirani zako kwanza ni mtunzi mzuri yaani kuandika ni kipaji ndio maana hajawahi kutoa ngoma mbovu.analijua game la bongo liko na linatakiwa liendaje.ndio maana alikiba anajulikana kwa mziki.atembelei nyoya ya mtu,eti nikiwa na demu yule nitaongeza umaalufu.
Huyo mzee wa maboko mnasema hajawahi toa ngoma mbovu?🤣🤣
 
Hisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.

Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa mzungumzaji sana, tunajua Wasafu ni watu wa mikakati na hilo wanaliweza sana tu

Kwa nini Harmonize aondoke, Kakua..?, anaweza kujitegemea..?, Ila ni kwamba Harmonize ni Akaunti iliyokuwa inajitosheleza ili iingize kipato sasa kivipi akae na Diamond hapo hapo, Mikakati inaanza ili atoke akajitegemee faida irudi na Media zingine zianze kumsapoti pesa iingie Wasafi huku asilimia kubwa akichukua yeye

Diamond majuzi kasapoti kwa kuposti kava ya Album ya Harmonize kuaminisha mtoto hata akijisaidia huwezi kata mkono, ila kibiashara streaming na dowloads zitaongezeka pesa itakuja nyumbani why nisiposti wakati nina wafuasi wengi,

Media zingine hazichezi nyimbo zangu Diamond ila Dogo atachezwa atapata coverage na Endorsement zinajileta pesa itaingia na Air Wave majina yatakuwa ni Diamond and Harmonize na Hakuna mwingine wakuturinganisha na sisi

Tuone hili,
Diamond- A boy from tandale imetoka tarehe 14/03/2018
Harmonize- Afro East imetoka tarehe 14/03/2020
Diamond A boy from Tandale ina nyimbo 18
Harmonize- Afro East ina nyimbo 18 .
Bado hamuamini Harmonize yupo chini ya Diamond?

Mapovu ruksa, Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki
Ni mbinu tu hizo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harmo alijipanga,halafu ana mzungu anayempa jeuri. Wale walimshindwa.
Mimi binafsi naamini hawa watu bifu lao siyo kubwa kama sisi washabiki tunavyotaka liwe, Diamond na kambi yake mpaka sasa sijaona kama wana figisu zozote wanazofanya kwa Harmonize, kitu ambacho siyo cha kawaida.

Inawezekana figisu zipo, na Harmonize kambi yake ikawa strong kiasi cha kupambana nazo, all in all Harmonize kama akiamua kufanya vizuri na kambi yake, ana hiyo potential.
 
Hisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.

Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa mzungumzaji sana, tunajua Wasafu ni watu wa mikakati na hilo wanaliweza sana tu

Kwa nini Harmonize aondoke, Kakua..?, anaweza kujitegemea..?, Ila ni kwamba Harmonize ni Akaunti iliyokuwa inajitosheleza ili iingize kipato sasa kivipi akae na Diamond hapo hapo, Mikakati inaanza ili atoke akajitegemee faida irudi na Media zingine zianze kumsapoti pesa iingie Wasafi huku asilimia kubwa akichukua yeye

Diamond majuzi kasapoti kwa kuposti kava ya Album ya Harmonize kuaminisha mtoto hata akijisaidia huwezi kata mkono, ila kibiashara streaming na dowloads zitaongezeka pesa itakuja nyumbani why nisiposti wakati nina wafuasi wengi,

Media zingine hazichezi nyimbo zangu Diamond ila Dogo atachezwa atapata coverage na Endorsement zinajileta pesa itaingia na Air Wave majina yatakuwa ni Diamond and Harmonize na Hakuna mwingine wakuturinganisha na sisi

Tuone hili,
Diamond- A boy from tandale imetoka tarehe 14/03/2018
Harmonize- Afro East imetoka tarehe 14/03/2020
Diamond A boy from Tandale ina nyimbo 18
Harmonize- Afro East ina nyimbo 18 .
Bado hamuamini Harmonize yupo chini ya Diamond?

Mapovu ruksa, Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki
Ila unahisia nzuri"sisi watu wa nangwanda tunasema unajipa moyo". basi wcb ilishikwa pabaya mpaka kuamua kutumia mbinu hizo, inamaana ilielekea kufa,sidhani kama ni kwer.
 
Kwahio Morgan heritage sababu waliimba na Diamond hawawezi kuimba na msanii mwingine hapa Tz? kuna kitu WCB wanafanya nyie watu sio bure maana hizi sio akili za mtu timamu
Ninacho jiuliza mimi ivi harmonize collabo na Morgan haritage ameipataje na ikumbukwe morgan kuna kipindi walikuj bongo na walionekan na harmonize studio kipind harmonize yuk WCB na ata collabo yake na yemi alade ameifanya akiwa WCB lakin imekuja achiwa baada ya kutok wcb kiukwel kuna kitu hapa kina jificha maan WCB ni wazee wa fitna

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaambiwa alicia na mastaa wengine woote walipiga picha na domo ni mali ya wcb,msanii yoyote akionekana nao basi ujue kaunganishiwa na wcb. Hii ni kwa mujibu wa misukule ya wcb
Kwahio Morgan heritage sababu waliimba na Diamond hawawezi kuimba na msanii mwingine hapa Tz? kuna kitu WCB wanafanya nyie watu sio bure maana hizi sio akili za mtu timamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio Morgan heritage sababu waliimba na Diamond hawawezi kuimba na msanii mwingine hapa Tz? kuna kitu WCB wanafanya nyie watu sio bure maana hizi sio akili za mtu timamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom