Harmonize balozi mpya wa CRDB Bank. Kijana anachanja mbuga asee

Harmonize balozi mpya wa CRDB Bank. Kijana anachanja mbuga asee

Hata Shilole nae alikuwaga balozi wa CRDB

akapata mihela miiiingi….akafungua mgahawa
 
Je wajuwa kwamba wcb ata lije dili la kondomu lazma apewe mkuuu dai ??...je wajuwa kwamba hakuna msani wa wcb anatakiwa kupewa show ya pesa nyingi kuliko dai ??? Je wajuwa kama nyota ya harmonize imengaaa maradufu bada ya kutoka kule Je wajuwa kwamba rayvan nyegezi na wasani ote wa wcb hakuna ata mwenye dili la asas ao kondomu ...jifikiriy kwanini ...domo analamba ata dili la sabuni za unga haachi kitu ..harmo kaona mbali ... puvu rukhsaaaaa [emoji6][emoji6][emoji6]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je wajuwa kwamba wcb ata lije dili la kondomu lazma apewe mkuuu dai ??...je wajuwa kwamba hakuna msani wa wcb anatakiwa kupewa show ya pesa nyingi kuliko dai ??? Je wajuwa kama nyota ya harmonize imengaaa maradufu bada ya kutoka kule Je wajuwa kwamba rayvan nyegezi na wasani ote wa wcb hakuna ata mwenye dili la asas ao kondomu ...jifikiriy kwanini ...domo analamba ata dili la sabuni za unga haachi kitu ..harmo kaona mbali ... puvu rukhsaaaaa [emoji6][emoji6][emoji6]

Sent using Jamii Forums mobile app
what a word broh.
fasihi flani ya kikubwa
namuona chinia achebe ndani yako
 
Nothing makes sense when you start your conversation with a words "Unajua kwamba"
Up here "Hatujui kwamba" Tunajua Facts
 
Na wkt huo mitikasi ya ndomu na cheulo inakua inamunda tu mwanzo mwisho kipindi hiki cha al-jazeera.

Anyway sio mbaya lkn maana ndio Wcb na wakata bolibo walivyoelewana kwa minajili ya kuibua m/v so inapigwa pasu kwa pasu ili brand iendelee kurindima na kufanya uwekezaji wa mrahaba wa 3% kutekelezeka maana it takes two to tango.
 
We don't write sh*ts here bro.
Harmonize is a WCB artist ila kinachoendelea kinaitwa kufanya Biashara na vipofu.

Hata Rock nation hawakumuachia Kanye kwa pesa ndogo kama mnayoaminishwa kwa Harmonize tena Rock hata hawakumtoa walimkuta yupo vizuri.

Harmonize ni asset na alishakua kiasi cha kuweza kufanya kazi nje ya mother label ila kwa usimamizi wa label, faida ya kufanya hayo ni nini?
1. Pesa zitaingia zaidi.
2. Watatengeneza asset mpya Zuchu.
3.Wataua carrier ya Alikiba Kabisa 4. Ushindani utakuwa WCB vs WCB

Watu wanaakili ya pesa hawakai kijinga jinga wanalala, wanaamka, wanakaa, wanatembea wakiwaza mamilioni ya pesa ndugu yangu wewe unawaza laki ngapi?
huyu kiba angekuwa wa kufutika kitaambo angeishasahaulika.

na kama mond mission yake ilikuwa kumfuta kiba,basi ni binaadamu mpumbavu kuliko watafutaji wote.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ya chitoholi kumbe inafaya kazi
Screenshot_2020-03-31-14-31-21.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom