Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasafi business don't forget that.
Only fool can say Harmonize is out of WCB
Nzi wa kijani
BILA KUPITIA KWA SIMBA HUWEZI PATA DEAL YEYOTE (ILA UNAPATA DEAL ZAIDI BAADA YA KUMWAGANA NAYE):
1. ZARI - Balozi wa sabuni gani sijui , DANUBE etc
2.TANASHA - Maarufu ,ghafla ana trend kama mwanamuziki. Angekaa mwaka mmoja zaidi angeoata deals za ubalozi kama hizo
3.HARMONIZE - balozi wa CRDB , soda gani sijui
4.SAPENGA - akawa Brand si ya kitoto
5.etc etc
MSHUKURUNI SIIMBA NDIYE NGAZI YENU NYIE KENGE
ana million 600 ya kuvunja mkataba??Muda muafaka Vannyboy akae chini ajiulize ametoka wapi na anakwenda wapi. Ikiwezekana abadili menejment yake.
We don't write sh*ts here bro.in your dreams...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
only idiots will think eti mr harmonize eti yuko wcb...its his fuking money now ..
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana mkuu.Wasafi business don't forget that.
Only fool can say Harmonize is out of WCB
Anaanzaje kuikosa sasa?ana million 600 ya kuvunja mkataba??
Ahsante, endelea kushikwa masikio now Alikiba anasahaulika taratiiibu they make more money from FTH (Fools, Trolls, Haters)pole sana mkuu.
🤣 🤣 🤣 mkuu inaonesha kuna kitu kimekukaba kwenye koo pole sana ila ndiyo hivyo tayari Konde boy anachanja mbuga na miliion 600 alishawalipa wahusika hadaiwi na mtu.Anaanzaje kuikosa sasa?
Na unaamini Mikataba ya WCB kwa watu kama Rayvanny na Harmonize inaweza kuvunjwa kwa kiasi hiko cha fedha?
kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi story.Ahsante, endelea kushikwa masikio now Alikiba anasahaulika taratiiibu they make more money from FTH (Fools, Trolls, Haters)
Kalagabaho.🤣 🤣 🤣 mkuu inaonesha kuna kitu kimekukaba kwenye koo pole sana ila ndiyo hivyo tayari Konde boy anachanja mbuga na miliion 600 alishawalipa wahusika hadaiwi na mtu.
"Inauma ila itabidi uzoee"Kalagabaho.
Wewe ni mzee? Are you over 45?kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi story.
Nenda na weweBILA KUPITIA KWA SIMBA HUWEZI PATA DEAL YEYOTE (ILA UNAPATA DEAL ZAIDI BAADA YA KUMWAGANA NAYE):
1. ZARI - Balozi wa sabuni gani sijui , DANUBE etc
2.TANASHA - Maarufu ,ghafla ana trend kama mwanamuziki. Angekaa mwaka mmoja zaidi angeoata deals za ubalozi kama hizo
3.HARMONIZE - balozi wa CRDB , soda gani sijui
4.SAPENGA - akawa Brand si ya kitoto
5.etc etc
MSHUKURUNI SIIMBA NDIYE NGAZI YENU NYIE KENGE