Harmonize - Hainistui (Official Audio)

kwa comment hii na 'likes' ilizopata, natoa ushauri jukwaa hili watu watupie tu mapambio ya diaomond.....maana wengine km huyo harmonize na kiba hawatakiwi humu. yaani 'HAINISTUI' ni mbaya na 'BABA LAO' ni bonge la wimbo?!!!!!!!!!
kwamba 'hainistui' imejaa mipasho na 'baba lao' haina?!!!!!! hii dunia hii......nilitarajia mambo namna hii niyasikie huko mtaani, kumbe yapo hadi humu kwa 'great thinkers'?!!!!!

kumbe ni kweli watz bado sana sababu tuna 'husda' ile mbaya......

namtabiria makubwa harmonize.......chuki humuinua mtu wakati mwingine sababu malaika wema humlinda anayehujumiwa!.....ingawa mashetani pia hushinda wakati mwingine!
 
Umeongea Pumba tupu, Huo Mond Wako kila kukicha anatafuta Kik kwa Kiba..

Ebu taja wasanii wanaotafuta Kik kwa Wcb au Unabwabwa tu kama umetapika ulimi
Wanaume tunaongea kauli za kiume we unaleta mipasho hapa, kauli kama hzo tumezoea kuzisikia kwa mashoga.Hilo swali la kijinga kamuulize Mamako.Akikipa jibu,ungana na wenzako mkadai haki zenu.
 
Wanaume tunaongea kauli za kiume we unaleta mipasho hapa, kauli kama hzo tumezoea kuzisikia kwa mashoga.Hilo swali la kijinga kamuulize Mamako.Akikipa jibu,ungana na wenzako mkadai haki zenu.
Sasa mashoga wanahusika vipi hapa? Mda mwingine mkiishiwa hoja mkae kimyaaa co kutapika uharo km umeshiba makande lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni maoni ya Mange kimambi mbona hujampa credit/hujafanya citation.😄😄😄
 
Manager wake mbovu Sana

They should chose a good producer na Ni vyema wapande waandishi wazuri

Wimbo mbaya kabisa na hauna chochote
 
Hizi post zote hamstui acheni kumjadili basi maana haimstui hahahaaaaa......haimstui. Huuu inatakiwa mtoto wa kihuni atengeneze video itatisha sana.

Wimbo wa nei wa mitego Huendi mbinguni wangekuwa wametoa wasafi sahizi ungekuwa wimbo wa taifa kwa promo ambayo wangeifanya.
 
Sasa wewe na bob risky si mko sawa kojoa ukalale na ukasome shule dogo

Nina watoto rika la huyo unayemuona ni baba ako. Means kwamba wew kwangu ni mjukuu. Kwa hiyo punguza upuuzi na ujinga wa kuita wakubwa zako ' dogo '
 
[emoji23][emoji23]imagine
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kazi nyingine toka kwa hamo, Je unaipa alama ngapi kati ya 10?
Harmo namkubali ila njia aliyoichagua sasa hivi itamletea madhara makubwa kwenye mziki plus chuki kuongezeka zaidi kwenye mziki wake.
Hata mm uwa namkubal uyu mwamba ila naona kama ngoma zake za iv karbuni anayumba kidogo naona kama anatafuta pakutokea wakat yeye n msanii mkubwa teyar mbona UNO n ngaoma kail sana NEVER GIVE UP pia n bonge la dude mpaka leo mtaan tunaish nalo 2 ATARUD Je ni dude kal kinoma..konde acha izi mambo bana we unajua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…