Harmonize - Hainistui (Official Audio)

Harmonize - Hainistui (Official Audio)

Ishu Sio kurudia Melody je kunamakubaliano yamefanyika before kutumia kazi ya mtu isijeikatokea Kama ngoma yake ya uno kumuibia yule mkenya.
Kwahiyo unaenda kumwambia mtu eti nicopy kazi yako!

Huo ndo unyonyaji wa mchana kweupe. Kisa eti unamlipa .
Una ushahidi gani kuwa harmonize alimuibia yule mkenya?. Mkenya mwenyewe mwizi yule siku zile zile alikamatwa kwa wizi.

Acha ujinga
 
Mwaka 2017 Aslay alikuwa anatoa hits back to back.. alishine sana

Akaanza kutoa ngoma za kawaida back to back...

mpaka leo anachukuliwa kuwa msanii wa kawaida tuu kutoka kuwa msanii mwenye solo hits zaidi 2017..

Ndicho kinachoenda kumkuta Harmonize....

Ngoma mbovuu sana, style za kuimba na mashairi ni zilezile...

zinabebwa na upepo tuu wa kushindanishwa na WCB

Sent using Jamii Forums mobile app
ni lini kitamkuta hicho?? hujaanza kusema leo.

Acha uchawi Wewe sio MUNGU kuwatabiria wengine ikiwa hujui hata Wewe siku yako ya kufa
 
ni lini kitamkuta hicho?? hujaanza kusema leo.

Acha uchawi Wewe sio MUNGU kuwatabiria wengine ikiwa hujui hata Wewe siku yako ya kufa
Harmo namkubali ila njia aliyoichagua sasa hivi itamletea madhara makubwa kwenye mziki plus chuki kuongezeka zaidi kwenye mziki wake.
 
Harmo namkubali ila njia aliyoichagua sasa hivi itamletea madhara makubwa kwenye mziki plus chuki kuongezeka zaidi kwenye mziki wake.
Wewe ni nani hata uyaone ya mbele yake ambayo hata yeye mwenyewe hayaoni??

Nini kama sio unafki huo? Nani asiyekujua wewe chawa wa wasafi?

toka apa mbele yangu usiniletee ngonjera zako
 
Wewe ni nani hata uyaone ya mbele yake ambayo hata yeye mwenyewe hayaoni??

Nini kama sio unafki huo? Nani asiyekujua wewe chawa wa wasafi?

toka apa mbele yangu usiniletee ngonjera zako
Kwahiyo wewe ni chawa wa huyo kondeboy
 
Mondi ana manyimbo mengi ya mipasho anawapasha mpaka maex wake lakini hakuna anaeona, leo kaimba konde eti mipasho kama mwanamke hovyooo.... wala hammstui kunyweni chai ya pilipili mkalale

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Team TANDAHIMBA mpo tayari kumlinda Mbunge wenu hapaa. Safi.

Apige kazi.. Si lazima aendeleze ujinga hata kama ndicho afanyacho Mondi.
 
Huu uzi umejaa mihemko na chuki...
Twende kwenye ukweli nyimbo sio mbaya wala nzuri ni ya kawaida.Sema kijana biti ni ya mr nice na mwanzo wa nyimbo ni kama style ya yule jamaa aliemshirikisha shishi (nikagongee banana).

Hii style ya mziki wa kuungaunga ka copy kwa baba yake uko kwenye kundi la wasafi.Sasa sion sababu ya kumnanga wakati ndio asili yao.Mbona babake anaimba sana taarabu!!!Angalia nyimbo zake kama baba lao!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajua mziki,harmonize inabidi atulie afute file la WCB kichwani Kama hakuwepo then atunge nyimbo.Kila nyimbo anayotunga lazima aifikirie WCB hichi sio kitu kizuri kwa afya ya muziki wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekwambia mtaani unapigwa vibaya mno kijana huku , sasa kama utaki platform kama Youtube itoe taswira ya nyimbo ilivyo unataka kitu gani , labda uniambie wewe unatumia KIPIMO GANI kujua hii nyimbo imebuma ?
Lazima ipigwe clouds ndio nyimbo iwe hit,hata kwangwaru sio hit,tetema sio hit,Inama sio hit ,yope sio hit.Mafioso bonge la hit limepigwa clouds

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoma kali sanaa.. Jamaa toka awaone wasafi ni wepesi km karatasi basi ski hz n mangoma tu.. Kweny show mtakuja tu.. tena show za one man army.. achana na yule anaita wasanii mia halafu anajidai wananchi wamemfata yeye pekee
Wasukuma mnatabu DIAMOND BABA YAKO
 
Beat mbaya.
Halafu ujinga anaofanya kaahamia kwenye kuimba vijembe. Angeendelea na mziki wake kama awali bila kujali wengine wanasemaje.
 
Ila baba lao ni ujumbe tupu au siyo mipasho?

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unamfananisha Diamond na Harmonize? ni akili unatumia kuwaza?

ok fanya hivi leo ukimuona Bakhresaa au MO wanatembea peku kawaige

na wewe tembea peku Halafu utaona nani atae onekana mwendawazimu.

Yani Diamond anafanya Pumba halafu mtu kama Harmonize anaiga?! endeleeni
 
Back
Top Bottom