jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 441
Buuu kashasha hautustui
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo ni mbaya hauna radha hauvutii kusikiliza mara mbili, nafikiri beat za Lizer zilimbeba sana.
Naiskia Mungu anakuona ya Ney kwa mbali na beat ya kingasti ya Lukas Mkenda aka Mr Nice.
Naupa 0.5/10 .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app