Harmonize hajakosea kuhusu Madam Ritha, tuache mitazamo hafifu katika imani

Harmonize hajakosea kuhusu Madam Ritha, tuache mitazamo hafifu katika imani

Wasalaam JF,

Mambo ya imani ni binafsi, hicho wanachoita kusujudu ni dhana ya tafsiri tu, kitendo cha Harmonize kina wigo mpana hasa. Mfano, appreciation, kumsalia mtu aliyekusaidia aongezewe zaidi, kumwombea mtu maisha marefu, kuomba juu ya awaye yeyote Mungu amuepushe na majanga, amjalie heri mfano riziki.

Sujuda ni modality tu mojawajo katika mifumo ya kuomba. Sujuda ya Harmonize hata Mungu anaikubali, yatupasa kufahamu ya kwamba sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya Madam Ritha.

Hata awe nani kumshukuru Mungu kwa kufanya kupitia Madam Ritha na kumbariki Harmonize ni jambo la heri.

Hisia kali zenye tafsiri chanya katika uungu wake Mungu, tafsiri na mapokeo ruksa kutofautiana.

Mimi nawaombea watu kwa kuinama na kushika miguu yao na inapobidi kwa umahususi maalum nawaosha na maji yenye chumvi na dua ya kuinama.

Tuliumbwa na akili kubwa ili tuyaone na kuelewa mambo makubwa na madogo.

View attachment 2558715

Wadiz
Umeandika ujinga mtupu, sijda ni kwa Mungu tu huyo harmonize ni mjinga na mpumbavu na amekosea mno kumsujudia mwanaadamu mwenzake
 
Wasalaam JF,

Mambo ya imani ni binafsi, hicho wanachoita kusujudu ni dhana ya tafsiri tu, kitendo cha Harmonize kina wigo mpana hasa. Mfano, appreciation, kumsalia mtu aliyekusaidia aongezewe zaidi, kumwombea mtu maisha marefu, kuomba juu ya awaye yeyote Mungu amuepushe na majanga, amjalie heri mfano riziki.

Sujuda ni modality tu mojawajo katika mifumo ya kuomba. Sujuda ya Harmonize hata Mungu anaikubali, yatupasa kufahamu ya kwamba sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya Madam Ritha.

Hata awe nani kumshukuru Mungu kwa kufanya kupitia Madam Ritha na kumbariki Harmonize ni jambo la heri.

Hisia kali zenye tafsiri chanya katika uungu wake Mungu, tafsiri na mapokeo ruksa kutofautiana.

Mimi nawaombea watu kwa kuinama na kushika miguu yao na inapobidi kwa umahususi maalum nawaosha na maji yenye chumvi na dua ya kuinama.

Tuliumbwa na akili kubwa ili tuyaone na kuelewa mambo makubwa na madogo.

View attachment 2558715

Wadiz
"sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya madam Ritha". Kwa phrase hii umepotosha mkuu.

Sisi siyo miungu, sisi ni mfano wa Mungu. Ukishasema miungu with small 'm' tayari unakuwa unazungumza kitu kingine tofauti kabisa na Mungu with Capital 'M' ambaye huyu ni Mungu mkuu (mfalme wa majeshi) aliye juu Mbinguni.

Otherwise, hoja yako siyo mbaya kwasababu hata Pope John Paul II alipozuru Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1990 alisujudu kama Harmonize mara tu alipotua airport, lakini haikumaanisha kwamba alikuwa anaisujudia nchi ya Tanzania.
 
Mbona tena huyo mdada anamshika kwa kumpapasa kidume kiunoni... binafsi mikono kama hiyo ikinishika tu lazima "Kichwa wazi" aanze vurugu hapo
 
Hao watu wanaojadiliwa kwenye hii mada,kwani ndio ni kina nani huko Daslam?
 
Kijana anapenda sana wanawake waliomzidi umri.
 
Jaman sisi wengine tupo shamban vip kwan huko mjini hao watu naona uzi wa pili huu unawazungumzia vip wanakulana au
 
Kwa tunavyomjua chinga haangalii umri,akijichekesha anae.
 
Dogo yupo sawa na atapata zaidi ndio maisha hayo sio mtu anakusaidia harafu ukitoboa unamletea madharau ya porini...
 
Sawa itoshe huo usumbufu wa maelezo naendelea kunywa ushindi wa yanga ni mkubwa mno.
Iko hivi..kuna taarifa ya awali kabla ya hii uliyotoa ambayo unaifahamu lakini hujaitoa kwa kudhani kila mtu anafahamu..kwa uandishi mzuri ili uende sambamba na wasomaji wapya wa habari yako ungetoa maelezo kidogo ya utangulizi ya kile kilichotokea ambacho kimepelekea wewe kuandika au kusema hicho unachotuambia.
Kubali kukosolewa ni njia mzuri ya kujifunza.
 
Wasalaam JF,

Mambo ya imani ni binafsi, hicho wanachoita kusujudu ni dhana ya tafsiri tu, kitendo cha Harmonize kina wigo mpana hasa. Mfano, appreciation, kumsalia mtu aliyekusaidia aongezewe zaidi, kumwombea mtu maisha marefu, kuomba juu ya awaye yeyote Mungu amuepushe na majanga, amjalie heri mfano riziki.

Sujuda ni modality tu mojawajo katika mifumo ya kuomba. Sujuda ya Harmonize hata Mungu anaikubali, yatupasa kufahamu ya kwamba sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya Madam Ritha.

Hata awe nani kumshukuru Mungu kwa kufanya kupitia Madam Ritha na kumbariki Harmonize ni jambo la heri.

Hisia kali zenye tafsiri chanya katika uungu wake Mungu, tafsiri na mapokeo ruksa kutofautiana.

Mimi nawaombea watu kwa kuinama na kushika miguu yao na inapobidi kwa umahususi maalum nawaosha na maji yenye chumvi na dua ya kuinama.

Tuliumbwa na akili kubwa ili tuyaone na kuelewa mambo makubwa na madogo.

View attachment 2558715

Wadiz
Uisilamu ni Elimu pana,kuna sijda za aina mbili,sijda ya Kumsalimu Mwenyezi Mungu peke yake,ndiyo ile waliofanya mitume wote,akiwemo Ibrahimu, Daudi,Musa na Yesu,na ndiyo wanaofanya Waisilamu kupitia Mtume Muhammad (S.A.W)

Kuna Sijda ya kawida ambayo Maraika na jina waliambiwa wamsujidie Adamu,yaani unainamisha kichwa chini.

Ambayo huamkiwa hata wafalme na Viongozi wakubwa
 
Unaweza kuthibitisha hayupo??
Nikishindwa kuthibitisha hayupo, hilo halithibitishi kwamba yupo.

Kwa sababu naweza kushindwa kuthibitisha hayupo kwa kuwa hayupo.

Kisichokuwepo kinaweza kutowezekana kuthibitishwa kwamba hakipo, kwa sababu hakipo ili kuthibitishwa kwamba hakipo.

Falsafa ya uthibitisho inahusika na vilivyopo, visivyopo havithibitishiki kwamba havipo, kwa sababu havipo ili vithibitishike kwamba havipo.

Kama yupo, unaweza kuthibitisha kuwa yupo?

Hujajibu swali, umelikwepa tu.
 
Harmonize kamshukuru Mungu kwa kupitia Madam Ritha, shukrani huitikiwa na kubarikiwa nq Mungu
 
Back
Top Bottom