Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
[emoji28][emoji28]Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
I was expecting this..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28]Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
Bado sijapata uthibitisho.[emoji28][emoji28]
I was expecting this..
Umeandika ujinga mtupu, sijda ni kwa Mungu tu huyo harmonize ni mjinga na mpumbavu na amekosea mno kumsujudia mwanaadamu mwenzakeWasalaam JF,
Mambo ya imani ni binafsi, hicho wanachoita kusujudu ni dhana ya tafsiri tu, kitendo cha Harmonize kina wigo mpana hasa. Mfano, appreciation, kumsalia mtu aliyekusaidia aongezewe zaidi, kumwombea mtu maisha marefu, kuomba juu ya awaye yeyote Mungu amuepushe na majanga, amjalie heri mfano riziki.
Sujuda ni modality tu mojawajo katika mifumo ya kuomba. Sujuda ya Harmonize hata Mungu anaikubali, yatupasa kufahamu ya kwamba sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya Madam Ritha.
Hata awe nani kumshukuru Mungu kwa kufanya kupitia Madam Ritha na kumbariki Harmonize ni jambo la heri.
Hisia kali zenye tafsiri chanya katika uungu wake Mungu, tafsiri na mapokeo ruksa kutofautiana.
Mimi nawaombea watu kwa kuinama na kushika miguu yao na inapobidi kwa umahususi maalum nawaosha na maji yenye chumvi na dua ya kuinama.
Tuliumbwa na akili kubwa ili tuyaone na kuelewa mambo makubwa na madogo.
View attachment 2558715
Wadiz
"sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya madam Ritha". Kwa phrase hii umepotosha mkuu.Wasalaam JF,
Mambo ya imani ni binafsi, hicho wanachoita kusujudu ni dhana ya tafsiri tu, kitendo cha Harmonize kina wigo mpana hasa. Mfano, appreciation, kumsalia mtu aliyekusaidia aongezewe zaidi, kumwombea mtu maisha marefu, kuomba juu ya awaye yeyote Mungu amuepushe na majanga, amjalie heri mfano riziki.
Sujuda ni modality tu mojawajo katika mifumo ya kuomba. Sujuda ya Harmonize hata Mungu anaikubali, yatupasa kufahamu ya kwamba sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya Madam Ritha.
Hata awe nani kumshukuru Mungu kwa kufanya kupitia Madam Ritha na kumbariki Harmonize ni jambo la heri.
Hisia kali zenye tafsiri chanya katika uungu wake Mungu, tafsiri na mapokeo ruksa kutofautiana.
Mimi nawaombea watu kwa kuinama na kushika miguu yao na inapobidi kwa umahususi maalum nawaosha na maji yenye chumvi na dua ya kuinama.
Tuliumbwa na akili kubwa ili tuyaone na kuelewa mambo makubwa na madogo.
View attachment 2558715
Wadiz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado sijapata uthibitisho.
Nasikia tu "Hadithi njoo, uongo njoo, utamu kolea".
Vichekesho kweri kweriyatupasa kufahamu ya kwamba sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya Madam Ritha
Unaweza kuthibitisha hayupo??Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
Iko hivi..kuna taarifa ya awali kabla ya hii uliyotoa ambayo unaifahamu lakini hujaitoa kwa kudhani kila mtu anafahamu..kwa uandishi mzuri ili uende sambamba na wasomaji wapya wa habari yako ungetoa maelezo kidogo ya utangulizi ya kile kilichotokea ambacho kimepelekea wewe kuandika au kusema hicho unachotuambia.Sawa itoshe huo usumbufu wa maelezo naendelea kunywa ushindi wa yanga ni mkubwa mno.
Uisilamu ni Elimu pana,kuna sijda za aina mbili,sijda ya Kumsalimu Mwenyezi Mungu peke yake,ndiyo ile waliofanya mitume wote,akiwemo Ibrahimu, Daudi,Musa na Yesu,na ndiyo wanaofanya Waisilamu kupitia Mtume Muhammad (S.A.W)Wasalaam JF,
Mambo ya imani ni binafsi, hicho wanachoita kusujudu ni dhana ya tafsiri tu, kitendo cha Harmonize kina wigo mpana hasa. Mfano, appreciation, kumsalia mtu aliyekusaidia aongezewe zaidi, kumwombea mtu maisha marefu, kuomba juu ya awaye yeyote Mungu amuepushe na majanga, amjalie heri mfano riziki.
Sujuda ni modality tu mojawajo katika mifumo ya kuomba. Sujuda ya Harmonize hata Mungu anaikubali, yatupasa kufahamu ya kwamba sisi ni miungu hivyo Mungu yupo ndani ya Madam Ritha.
Hata awe nani kumshukuru Mungu kwa kufanya kupitia Madam Ritha na kumbariki Harmonize ni jambo la heri.
Hisia kali zenye tafsiri chanya katika uungu wake Mungu, tafsiri na mapokeo ruksa kutofautiana.
Mimi nawaombea watu kwa kuinama na kushika miguu yao na inapobidi kwa umahususi maalum nawaosha na maji yenye chumvi na dua ya kuinama.
Tuliumbwa na akili kubwa ili tuyaone na kuelewa mambo makubwa na madogo.
View attachment 2558715
Wadiz
Nikishindwa kuthibitisha hayupo, hilo halithibitishi kwamba yupo.Unaweza kuthibitisha hayupo??