Uo ni ushambaUmeangalia angle moja tu ila je umeangalia angle ya Marketing mkuu....kuna mambo ya ajabu sana katika issue ya kutengeneza market ya kitu fulan....wewe unaweza kuona amekosea na amepotea ila kwenye suala zima la biashara na marketing ya bidhaa amehit bingo....
Harmonize na timu yake wamefiliska, ameona haongelewi tena ameambiwa mtu pekee wa kumgusa n Diamond,, hadi tattoo n sawa na za Platnumz, wimbo hauna kikHuu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.
Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?
Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.
moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.
Watu mnadharau 🤣🤣🤣aisee hajafikia kiwango cha kujadiliwa na mimi huyu.
Huyo ni Diamond alilipwa pesa yake ya u video vixen kama Antonio Nugas
The lateMarehemu nani?
Diamond alilipwa million 7Yule si Dimond au ugolo umenivuruga macho mimi mjukuu wa Sisco?
Diamond alilipwa kutokea kideo kama yule Nugus nyimbo za khasim mganga"limechoka acha nilikalagaze
halina meno ilo simba zeee
likila demu lazima litangaze "
Hiyo the late si kwa kiswahili ndio mareheme au sielewiThe late
[emoji16]Hiyo the late si kwa kiswahili ndio mareheme au sielewi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mtu atoke tandahimba asiwe mshamba?
Yule sio diamondDiamond alilipwa kutokea kideo kama yule Nugus nyimbo za khasim mganga
Hana uwezo kwanza kumlipa diamondDiamond alilipwa kutokea kideo kama yule Nugus nyimbo za khasim mganga
[emoji16][emoji16][emoji16] napenda umbeya kuliko hata kulaHeeee wee mwanamke unapenda umbeya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye akili yako kuna mind set ya ukabila, jitafakariHuu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.
Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?
Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.
moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.