Harmonize, Huo ni Ushamba

Harmonize, Huo ni Ushamba

Umeangalia angle moja tu ila je umeangalia angle ya Marketing mkuu....kuna mambo ya ajabu sana katika issue ya kutengeneza market ya kitu fulan....wewe unaweza kuona amekosea na amepotea ila kwenye suala zima la biashara na marketing ya bidhaa amehit bingo....
Uo ni ushamba
 
Huu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.

Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?

Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.

moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.
Harmonize na timu yake wamefiliska, ameona haongelewi tena ameambiwa mtu pekee wa kumgusa n Diamond,, hadi tattoo n sawa na za Platnumz, wimbo hauna kik
 
Hiv kwanini kila msanii akitaka Kiki lazima amtaje diamond?
 
"limechoka acha nilikalagaze
halina meno ilo simba zeee
likila demu lazima litangaze "
Diamond alilipwa kutokea kideo kama yule Nugus nyimbo za khasim mganga
 
itakua anatafuta kiki ya kitamasha chake maana kimekaribia
 
Kushoto kulia,hujanikomoa,Hainshtui now huo ni ushamba.............

Uzuri wenyewe siku hizi Chibu hajibu.Anaacha kupromote album yake anahaika kuponda manake alisema ana video zote 18,lkn sizani kama video alizotoa zinazidi 5 za hiyo album,kuna nyimbo mbili kali ya ft Morgan Heritage -Makaika na ft Skales-Rhumba,ila yy kakomaa na hizi nyimbo ambazo hazi msaidii kitu,zinashindwa kutrend hata Kenya.

Diamond anamfikiria sana mpaka anamtoa nje ya mstari,manake alisema tarehe 7 Nov angekuwa na Tamasha Uhuru Stadium kwa mda wa siku 3 mfululizo lkn kimya,katuhaidi kutulia Ubwabwa kila baada ya kipindi fulanikama Rungwe lkn nayo kaifanya mara Karume moja baadae kimya.
 
Heeee wee mwanamke unapenda umbeya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16] napenda umbeya kuliko hata kula
 
Huu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.

Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?

Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.

moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.
Kwenye akili yako kuna mind set ya ukabila, jitafakari

Hata hivyo jukwaa hili hakuna kitu Harmonize afanye kikasifiwa, ni vile tu hamuwezi kumshusha!!

Kuhusu Diamond fake kwenye wimbo huu mpya ni kama vile unataka kusema Harmonize kamuattack Mond, hilo ni kweli. Lakini kwa wanamuziki wenye ushindani hilo si tatizo, ndio maana hata Diamond anapomshambulia Ally Kiba kwenye wimbo mnafurahia, si unakumbuka Mond aliwahi kusafiria trend ya "pencil?" Akamdis Kiba kwa maneno, "Alitaka beef mserereko, tumemkwepa!!"
Unadhani Mond alikosea!! Hapana. Kisanaa alikuwa sahihi na ndio maana mashabiki wake mlifurahia.
Leo kapigwa wako, vumilia.
 
Hii ni biashara mkuu

Wabongi wengi wanadhani Diamond na Harmonize haziivi lakini kiukweli lengo la hili bifu feki ni kumzima alikiba kutoka wasafi vs kiba kwenda Diamond vs harmo vs kiba, na kwa sasa hali ilivyo kiba anakaribia kufutika hapo.

Lengo la pili la hili bifu feki ni kupiga pesa na kuongeza umaarufu kwa kiki, Mfano huu wimbo mpya wa harmonize umewafanya mashabiki wa diamond kuwa karibu sana na vyombo vya habari kujua ni nini diamond atajibu na vilevile ni fursa ya kuchapa pesa kwa harmonize huko youtube.
 
Back
Top Bottom