Kushoto kulia,hujanikomoa,Hainshtui now huo ni ushamba.............
Uzuri wenyewe siku hizi Chibu hajibu.Anaacha kupromote album yake anahaika kuponda manake alisema ana video zote 18,lkn sizani kama video alizotoa zinazidi 5 za hiyo album,kuna nyimbo mbili kali ya ft Morgan Heritage -Makaika na ft Skales-Rhumba,ila yy kakomaa na hizi nyimbo ambazo hazi msaidii kitu,zinashindwa kutrend hata Kenya.
Diamond anamfikiria sana mpaka anamtoa nje ya mstari,manake alisema tarehe 7 Nov angekuwa na Tamasha Uhuru Stadium kwa mda wa siku 3 mfululizo lkn kimya,katuhaidi kutulia Ubwabwa kila baada ya kipindi fulanikama Rungwe lkn nayo kaifanya mara Karume moja baadae kimya.