Harmonize, Huo ni Ushamba

Harmonize, Huo ni Ushamba

Hiyo style yako ya kumpa promo Mmakonde wako, imefanya kazi. Umewapata wengi sana. Hongera, ni ubunifu wa marketing.
Sasa tuje kwenye uhalisia. Huu wimbo ni coma cover version ya 'Ahh wapi' wa Wozhu. The way anavyo-sound mpaka kwenye video. Siyo mbaya, kajitahidi ila bado haijamfikia dogo wa Chuga.
Naona nyimbo nyingi anazotoa karibuni ni remix ya nyimbo za wenzie.
 
Sijausikiliza ila kamakafanya hivyo basi ana diamophobia maana kumuitadiamond mshamba ni kosa la kimkakati.
 
Hata kabla ya 'intaneti' kufungwa ulishaanza kupotea! Ungetumia hata 'vipieni' tu jamani!
Haha hivyo eeh? Mbona mimi nipo sana tu, labda tu tulikuwa hatuonani. Vipi hujambo lakini?
 
Ila Mariana a.k.a Zoe ulipotea sana best yetu hadi nikahisi umechaguliwa kuwa kwenye vile vikosi vya kuiba kura na kuwatesa wananchi wa Zanzibar
Ni ushamba kuchanganya mambo ya siasa kwente mada kama hii...umeibiwa umeibiwa haya ya shakuwa madai ya kishamba.
 
Huu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.

Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?

Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.

moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.
Aache ujinga afanye mziki, yaani bado anaangaika na Mondi mpaka leo! !
 
Bahati mbaya Dunia haijawahi kuwa fair kwa yoyote yule, si Diamond, Ally, Harmo, Roma au Stamina na wengine wengi, Nitashangaa siku kama msanii au mtu yoyote atapendwa na watu wote, na nitashangaa akichukiwa na watu wote. Ndio hulka yetu sisi wanadamu, tunakuwaga una uwendawazimu wakuchukia vingine hata visivyotuathiri au kutugusa. Mengine ni kuyaacha yapite tu won't cost you anything.
 
"limechoka acha nilikalagaze
halina meno ilo simba zeee
likila demu lazima litangaze "
 
Back
Top Bottom