Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Ha ha angeweza pata hata namba D kabisa hapo kutakuwa na namna.
 
Utamu wa mbususu kaka, hujui analewa nini kwenye ile mechi pendwa
 
Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
Haijalishi kikubwa kamkubali YESU baas. Safi Kondeboy kufuata kweli.

Jesus first Jesus Forever

Jesus is God

In Jesus we MUST trust
 
Mkristo kubadili kuwa muislam nI kawaida tu. Ila muislam kubadili kuwa mkristo ni bonge la ushindi. Kwani waislamu wanaobadili kwenda ukristo wanaitwa one in a billion. Harmonize ni one in a billion. Mjanja sana kwa Kukwepa moto wa jehanam.

Jesus first Jesus Forever

Jesus is God

IN JESUS WE MUST TRUST
 
Aliolewa na yule mumewe walifunga ndoa wakaja pata msala wa kutakatisha feza sjui na kuuza nyumba iliyokuwa imezuiwa kuuzwa na mahakama nafikiri....jamaa akafungwa kajala akaingia mtaani nafikiri ndo alianza rasmi umalayer
Kwa hyo jmaaa Yuko ndani dadeki walai ikitoka naanza na mmakonde
 
Mbna Kama una hbr za umbeumbe za ukweli HV anzisha Uzi bas mkuu
 
Harmonize hatimaye safari yake ya kiimani imejulikana kwani toka mwanzo kabisa dalili zilikuwepo, tazama clip hii

Harmonize - Matatizo

 
Inawezekana kufunga ndoa kanisani hata kama aliolewa ndoa ya kanisani akaachika. mfano mke wa sugu happy alishaolewa ndoa ya kanisani kisha talaka halafu akaenda olewa na sugu kanisani tena katoliki
Mkuu una uhakika na hili kweli? Je kanisa lilikiwa linajua hiki?
 
Kweli, one man down, I repeat, one man down. Over
 
Zimeishia hapo tumwache tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…