n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Ha ha angeweza pata hata namba D kabisa hapo kutakuwa na namna.Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwaNamba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.
Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume 😅
Utamu wa mbususu kaka, hujui analewa nini kwenye ile mechi pendwaTumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...
Haijalishi kikubwa kamkubali YESU baas. Safi Kondeboy kufuata kweli.Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
Embu share lile gogo lake pm plz ahahaha sijaliona kbsa pengine wanamsapoti tu kumbe yangu mzigo zaidAlisikika mtu akisema eti kajala ndo anahimili lile gogo la mmakonde
Kwa hyo jmaaa Yuko ndani dadeki walai ikitoka naanza na mmakondeAliolewa na yule mumewe walifunga ndoa wakaja pata msala wa kutakatisha feza sjui na kuuza nyumba iliyokuwa imezuiwa kuuzwa na mahakama nafikiri....jamaa akafungwa kajala akaingia mtaani nafikiri ndo alianza rasmi umalayer
Mbna Kama una hbr za umbeumbe za ukweli HV anzisha Uzi bas mkuuKaribu sana Rooobbbbbbeeerrrrrttt
Huwa nawahurumia sana wanaobadili dini ukubwani iwe mkristo au muislam maana anaenda kujifunza utamaduni mpya. Na mbaya zaidi awe kabadili kufata ndoa,mapenzi,ajira etc wanapata tabu sana
Wolper alibadili dini kumfata dalas akaishia kupigwa matukio karudi ukristo,aunt alibadili kufata mume ndoa ikayeya,diva saiv analia tu,flora mvungi kwa hbaba kilishaumana zamaani,zari kwa ivan hadi muda huu haeleweki ni mkristo au muislam.
Jicho safi lenye kunukia.Huyu dada alimpa nini, awafundishe na wenzie
Jicho kabisaJicho safi lenye kunukia.
Waarabu wamekuharibu mkuu. Anyway ni fungu ulilolichagua mwenyeweUkristo ni ukafiri. Kama tu ushirikina na kuabudu mizimu.ndio maana wana miungu watatu
Mkuu una uhakika na hili kweli? Je kanisa lilikiwa linajua hiki?Inawezekana kufunga ndoa kanisani hata kama aliolewa ndoa ya kanisani akaachika. mfano mke wa sugu happy alishaolewa ndoa ya kanisani kisha talaka halafu akaenda olewa na sugu kanisani tena katoliki
[emoji23][emoji23]Wanawake wakishajua kajala alichompa konde.
Tumekwisha
Kweli, one man down, I repeat, one man down. OverKwenye account yake ya instagram ambayo iko verified, pia account ya paula, kajala mwenyewe na esma platnumz! Ziko verified zote!
Kwenye instagram yake kaandika vyema kabisa kuwa yuko tayari hata kufa kwa ajili ya kajala, kesho kutwa anabatizwa!
Tumepoteza mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zimeishia hapo tumwache tuTumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...