Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Si bure huyu dogo atakuwa amepigwa ‘mbili nyungu’ na asipo stuka mapema very soon ataokota makopo!
 
Hivi Kajala alishaolewa rasmi na Baba Paula au walizaa tuu? Ila ni ushenzi wa ajabu mno kubadili dini. Kwa nini wasingefunga ndoa mseto? Hapa ndiyo namdharau huyu Mmakonde. Mimi ni follower wake Ila kwa hili naweza unfolliw kabisa .
Hakuna ndoa Mseto huo ni ukafir tu
 
Angekuwa mkristu amebadili kwenda uislam [emoji1787][emoji1787] ungeona , Mashallah Mashallah za kutosha Allah Akbar , karbu Kwenye Dini ya haki , uislam utatawala Dunia , haha
Ukristo ni ukafiri. Kama tu ushirikina na kuabudu mizimu.ndio maana wana miungu watatu
 
Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
Nakubaliana na wewe, Kama siyo kifo labda Kama previous husband wake amepata ukichaa wa akili nakushindwa kutimiza majukumu yakindoa na ikathibitishwa kitabibu na Jamii ikawa inaona hali yake.
 
Karibu sana Rooobbbbbbeeerrrrrttt

Huwa nawahurumia sana wanaobadili dini ukubwani iwe mkristo au muislam maana anaenda kujifunza utamaduni mpya. Na mbaya zaidi awe kabadili kufata ndoa,mapenzi,ajira etc wanapata tabu sana

Wolper alibadili dini kumfata dalas akaishia kupigwa matukio karudi ukristo,aunt alibadili kufata mume ndoa ikayeya,diva saiv analia tu,flora mvungi kwa hbaba kilishaumana zamaani,zari kwa ivan hadi muda huu haeleweki ni mkristo au muislam.
Asilimia mia wengi mwisho wao hua ni mbaya sana
 
Inawezekana kufunga ndoa kanisani hata kama aliolewa ndoa ya kanisani akaachika. mfano mke wa sugu happy alishaolewa ndoa ya kanisani kisha talaka halafu akaenda olewa na sugu kanisani tena katoliki
Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
 
Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwa Namba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.

Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume 😅
😂😂 kajala namba B bhana afu ma domo ndo A
 
Si kweli kwamba baada ya jela ndo alianza umalaya(kajala mwenyewe alisota sana huko jela). Kajala alishawahi toka na petit. Paula mwenyewe kamzaa akiwa sekondari. So tabia kaianza kabla ya ndoa na muoaji alioa akijua kabisa tabia na akili za kajala
Daah
 
Mkuu tuwekee reliable source.
Kwenye account yake ya instagram ambayo iko verified, pia account ya paula, kajala mwenyewe na esma platnumz! Ziko verified zote!
Kwenye instagram yake kaandika vyema kabisa kuwa yuko tayari hata kufa kwa ajili ya kajala, kesho kutwa anabatizwa!

Tumepoteza mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom