Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

Akili kubwaz kwenye siasa anafata nyayo za ma legendary sugu na jay ushauri mzuri.
 
Naona watangazaji wa hio redio walikua wanashindwa hata kuitamka Wasafi wamekua wakiita record label yako ya zamani
 
Hivi kweli unamdai Mtu gharama Zote ulizomsaidia katika kutengeneza Videos toka anatoka mpaka leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mil 500 juu[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji24][emoji24][emoji24][emoji119][emoji119]
Mbona ndogo sana hizo inafaa 3+billion
 
Kama ana masikio na akili timamu basi na asikie huu ushauri Mujarab kabisa!Mkuu you nailed it down
Anaweza mpaka kupata uwaziri kisha likatokea jambo akatumbuliwa... [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]shida itaanzia hapo
 
Kijana anaweza apewe time.. anajambo huyu tatizo cc wa Tanzania tunakatishana sana tamaa na uoga na unafiki tulio nao ndo unachelewesha maisha yetu. Sitaamini na siamini kama leo hii Harmonize anaweza akamdharau Mond.
 
[emoji120][emoji120][emoji109][emoji109][emoji116][emoji116]
Kama ana masikio na akili timamu basi na asikie huu ushauri Mujarab kabisa!Mkuu you nailed it down
 
Hakuna kitu kina nguvu kama wapambe.. Hasa ukishindwa kuwa control
Kijana anaweza apewe time.. anajambo huyu tatizo cc wa Tanzania tunakatishana sana tamaa na uoga na unafiki tulio nao ndo unachelewesha maisha yetu. Sitaamini na siamini kama leo hii Harmonize anaweza akamdharau Mond.
 
Mond mbona alimsahau Bob junior, Ruge na Papaa Misifa, maisha yanaenda kwa kasi. Punguzeni kumuwangia Konde.
 
Mond mbona alimsahau Bob junior, Ruge na Papaa Misifa, maisha yanaenda kwa kasi. Punguzeni kumuwangia Konde.
Alimsahau unaushahidi bob junior si alikuwa producer..?kwani alikuwa amemsaini diamond kweli shule muhimu kasome ujue kuandika fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…