Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Hawezi Kuachwa Tu, Bora Aambiwe Ukweli Halafu Aamue Mwenyewe, Asiyesikia La Mkuu Huvunjika Guu

Kuna Mengine Nadhani Anayaharakisha Bila Kujua
Tanzania Leo, Unashangiliwa, Kesho Unazomewa Hatari
bi sandra mbona ivyo?
 
Kinachonisikitisha Kumuamini JEMBE NI JEMBE Kuwa Manager Wake...Daaah!!! Hapa Ndipo Alipokanyaga VIMA Akaruka JOKOM...Time Will Tell...Ifadhini Hii Comment Yangu
Esma tulia hata diamond mbona kuna babu tale nyuma yake na fella na salam sk.
 
Hivi Mmejifunza nini Toka Kwa Clouds Media Na Harmonize? Kuna Somo Moja Kubwa Sana Nimejifunza UNAFIKI! Hii ni MAIN THEME ambayo unaweza Itengenezea THEORY,UNAFIKI muogope Sana Mtu Mnafiki!

-Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka!

Turudi kwenye UNAFIKIII ,Unafiki ni Somo Kubwa sana Harmonize Ameprove kuwa diamond ndio alikuwa hataki amani na Clouds ila Yeye alikuwa anataka amani! Wakati clouds hawajaaahi cheza nyimbo zake hata kabla ya Diamond Kutofautiana Nao! Alie Sababisha Diamond Atofautiane na Clouds Ni Harmonize! Diamond Alikuwa anamkingia kifua harmonize pale walipo taka kumtumia kwa faida yao,Apige show hela ndogo Diamond Aligoma na ndio ugomvi ulipo anza lakini Diamond matokeo ya kufanya vile yalionekana harmo akawa ana heshimiwa na Anafanya show za heshima! Leo Diamond hata issue tena inaonekana alikuwa anamkosesha amani na Clouds! Kusema Nyimbo zake alikuwa hapendi ambapi hazipigwi clouds ni Unafiki nakumbuka kuna interview alifanya ana aliwaponda clouds na kuwapost insta! Eti leo hata Kutaja neno WCB kwenye interview hawezi

-Unafiki wa clouds kusubiri watu wagombane yeyw aponee hapo...Wamempoteza Aslay barnanaba sahizi Wanataka kumpoteza Marioo atafuata harmo

-Usijidanganyw ukaenda kugombea ubunge lisa ni kauli Ya Rais,Raisi ni Mwanasiasa Ambae anatafuta kupigiwa makofi mbele za watu! Rudi clip ya raisi mara 10 10 utajua raisi hakumaanisha

UNAFIKIIIII
level ya harmonize unataja barnaba wewe mzima kweli kichwani?
 
MIAKA MIWILI MBELE HARMONIZE ATAKAMATA UHODHI ( MONOPOLY) MARKET YA MUZIKI AMBAO DIAMOND ALIJIMILIKISHA.
 
Nimeisikiliza yote... Naweza kusema ni the best interview ever kwa wasaniii wetu hawa wa kibongo... Watangazaji walitaka kumtumia kuendeleza bifu lakini amewa outsmart pakubwa... Amewa frustrate sana haya yule wa kike...
Bado ana heshima kubwa kwa WASAFI na anawathamini na kuwaheshimu na kuwategemea sana... Amakinike tu na team yake na ahadi ya ubunge

Kale kadada kajinga kweli nlitamani nkatukane tusi kasikie, kalitaka kuleta za kuleta, ni kweli anastahili pongezi, Konde alijibu kistaarabu mnoooo
 
Alishaona kanakotaka kumpeleka.... Good enough harmonize alimu outsmart big time
Kale kadada kajinga kweli nlitamani nkatukane tusi kasikie, kalitaka kuleta za kuleta, ni kweli anastahili pongezi, Konde alijibu kistaarabu mnoooo
 
Ungemfuata inbox kwani ni lazima watu wajue kwamba umemshauri?

Tzii tataendelea kuchelewa tu kwa ajili ya husda
 
Hivi Mmejifunza nini Toka Kwa Clouds Media Na Harmonize? Kuna Somo Moja Kubwa Sana Nimejifunza UNAFIKI! Hii ni MAIN THEME ambayo unaweza Itengenezea THEORY,UNAFIKI muogope Sana Mtu Mnafiki!

-Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka!

Turudi kwenye UNAFIKIII ,Unafiki ni Somo Kubwa sana Harmonize Ameprove kuwa diamond ndio alikuwa hataki amani na Clouds ila Yeye alikuwa anataka amani! Wakati clouds hawajaaahi cheza nyimbo zake hata kabla ya Diamond Kutofautiana Nao! Alie Sababisha Diamond Atofautiane na Clouds Ni Harmonize! Diamond Alikuwa anamkingia kifua harmonize pale walipo taka kumtumia kwa faida yao,Apige show hela ndogo Diamond Aligoma na ndio ugomvi ulipo anza lakini Diamond matokeo ya kufanya vile yalionekana harmo akawa ana heshimiwa na Anafanya show za heshima! Leo Diamond hata issue tena inaonekana alikuwa anamkosesha amani na Clouds! Kusema Nyimbo zake alikuwa hapendi ambapi hazipigwi clouds ni Unafiki nakumbuka kuna interview alifanya ana aliwaponda clouds na kuwapost insta! Eti leo hata Kutaja neno WCB kwenye interview hawezi

-Unafiki wa clouds kusubiri watu wagombane yeyw aponee hapo...Wamempoteza Aslay barnanaba sahizi Wanataka kumpoteza Marioo atafuata harmo

-Usijidanganyw ukaenda kugombea ubunge lisa ni kauli Ya Rais,Raisi ni Mwanasiasa Ambae anatafuta kupigiwa makofi mbele za watu! Rudi clip ya raisi mara 10 10 utajua raisi hakumaanisha

UNAFIKIIIII
Uchambuzi uchwara

Marioo ana miaka miwili tu kwenye game i.e ndo mpya,ila wewe unasema watampoteza..Yaani unamlinganisha Aslay na Harmonize??..alipo Harmonize ni mbali ni yeye tu kupambana,Clouds hawawezi wakamshusha mtu ambaye tayari internationally amepenya kiasi
 
Kinachonisikitisha Kumuamini JEMBE NI JEMBE Kuwa Manager Wake...Daaah!!! Hapa Ndipo Alipokanyaga VIMA Akaruka JOKOM...Time Will Tell...Ifadhini Hii Comment Yangu
Dogo anashindwa kutofautisha money mongers na carrier mongers...hahahahaaa hiki kizungu bhana
 
Hii ngoma jamaa kama aliona mbele,vingi alivyoimba vimekuja kutokea..dah
Napata mashaka Sana kama konde boi ataweza kusustain maisha nje ya WCBOO!!

japo kujitegemea ni jambo Zuri ila gia aliyoanza kuiweka sasa kwenye zile media zingine ni mbaya itam_backfire aanze kumkumbuka mondi

Hili saga la konde na wasafi inanifanya niukumbuke wimbo wa mondi wa "je utanipenda" hasa pale anapomzungumzia huyu dogo konde
 
Ni zamu ya konde boi kila kona. Si ki mashairi vina na midundo tena bali ziara za kuonesha ukwasi, kukubalika na ukaribu na mamlaka zenye nguvu.Tunda limewiva sasa kila mtu analitaka. Mkulima keshasahaulika.Nina machache kwako Konde Boi

1. Kipaji adimu/adhimu. Hili halina ubishi kipaji kipo hasa cha utunzi wa nyimbo zinazogusa hisia.Na midundo inayohamasisha kucheza.Lakini daima mkumbuke aliyekushika mkono, aliyekulea, aliyekukuza. Aliyekutoa kusikojulikana mpaka leo upo hapo ulipo.Mheshimu sana huyu. Ana mustakabali juu yako. Usikubali kamwe kutumika ukamkejeli kumtusi ama kumsema vibaya

2. Ni haki yako kuondoka WASAFI. Kwa lugha nyingine tunasema mwana kakua. Na kama ni shule tunasema umehitimu. Nenda kwa amani, aga kwa furaha. Shukuru kwa kila jambo.Kaanze maisha mapya kwa miguu yako mwenyewe na kwa kujiamini. Lakini kamwe usinyee kambi. Usiteme bazoka kwa njugu za kuonjeshwa.
Hao wanaokusifu na kukupamba leo ndio hao hao walikudhihaki na kukutema mate huku wakikukimbia miaka mitatu tu iliyopita.

3. Punguza kuiga. Kuwa na ubunifu mpya japo wanasema learn from the best lakini angalia unaiga nini Ili isionekane kama ni copy n paste Utajimaliza. Hapa wanakusema na haya na mengine mengi.
. Aliponunua V8 jipya ukajibu mapigo
. Ameanzisha FM radio nawe unataka kufanya hivyo.
. Alipoenda Tandale na kugawa misaada ukaenda Kariakoo.

4. Ziepuke hila za wanasiasa. Wanakuona sasa kwakuwa kuna watu wamekupika na kuna hadhira ikakupokea. Wanasiasa hawana marafiki wa kudumu bali wana maslahi ya kudumu. Hadhira iliyokufikisha hapo haiko kwenye kundi la wanasiasa, ni fans wako toka imani tofauti, vyama tofauti, itikadi tofauti nknk. Usiikosee na kuipa kisogo. Ikishajigawa kwa matendo yako mbele yako iko mashakani. Wanasiasa wakutumie kwa faida huku ukibalance. Epuka ahadi za uongo

5. Waangalie watu wanaokuzunguka sasa na kukusujudia. Wanafanya hivyo kwakuwa unacho cha kuwapa na wanafaidika na wewe. Punguza ziara zisizo na tija. Chagua ya kuongea. Angalia unaongea nini na nani na wapi. Usikubali kamwe kuchonganishwa na walezi wako.

6. Wewe ni msanii sio mwanasisa. Achana na hizi ziara. Rudi kajichimbie utoe vitu vipya vikali zaidi. Muda unaopoteza utakugharimu labda tu kama hutaki kurudi kwenye gemu kwa matumaini ya ahadi ya ubunge.

7. Kuna kitu kinaitwa asili. Asili pia ni shina ama ni chanzo. Una asili na WASAFI na Mondi. Kamwe usikubali kugombanishwa naye. Nasema usikubali. Shina ni shina tuu. Wakati unasubiri kumalizana na WASAFI. Usirukeruke. Hawa wapambe kila kona wanakupoteza na kukupotosha pakubwa.

Nitaendelea panapo majaliwa.

Ndimi Jr fan wa kazi zako.

Mshana Jr Mimi sio mshabiki sana wa makala zako lakini hongera sana kwa makala hii nzuri iliyojaa jumbe nzito kila mstari hasa hiyo point namba 7. Sina chakuongezea ila nami nimtakie KONDE BOY mafanikio mema.
 
Yaani nyie watangazaji wa clouds mnaupeo mdogo sana...sasa kwa akili yako umeona kabisa huo ni ushauri nimempa harmonize?
wewe chakupanga hauna uwezo kwa kumpangia harmonize cha kufanya wakati ana hustle kutoka ulikuwa nae ?
 
Mshana Jr Mimi sio mshabiki sana wa makala zako lakini hongera sana kwa makala hii nzuri iliyojaa jumbe nzito kila mstari hasa hiyo point namba 7. Sina chakuongezea ila nami nimtakie KONDE BOY mafanikio mema.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]asante kwa hili pia
 
Ni zamu ya konde boi kila kona. Si ki mashairi vina na midundo tena bali ziara za kuonesha ukwasi, kukubalika na ukaribu na mamlaka zenye nguvu.Tunda limewiva sasa kila mtu analitaka. Mkulima keshasahaulika.Nina machache kwako Konde Boi

1. Kipaji adimu/adhimu. Hili halina ubishi kipaji kipo hasa cha utunzi wa nyimbo zinazogusa hisia.Na midundo inayohamasisha kucheza.Lakini daima mkumbuke aliyekushika mkono, aliyekulea, aliyekukuza. Aliyekutoa kusikojulikana mpaka leo upo hapo ulipo.Mheshimu sana huyu. Ana mustakabali juu yako. Usikubali kamwe kutumika ukamkejeli kumtusi ama kumsema vibaya

2. Ni haki yako kuondoka WASAFI. Kwa lugha nyingine tunasema mwana kakua. Na kama ni shule tunasema umehitimu. Nenda kwa amani, aga kwa furaha. Shukuru kwa kila jambo.Kaanze maisha mapya kwa miguu yako mwenyewe na kwa kujiamini. Lakini kamwe usinyee kambi. Usiteme bazoka kwa njugu za kuonjeshwa.
Hao wanaokusifu na kukupamba leo ndio hao hao walikudhihaki na kukutema mate huku wakikukimbia miaka mitatu tu iliyopita.

3. Punguza kuiga. Kuwa na ubunifu mpya japo wanasema learn from the best lakini angalia unaiga nini Ili isionekane kama ni copy n paste Utajimaliza. Hapa wanakusema na haya na mengine mengi.
. Aliponunua V8 jipya ukajibu mapigo
. Ameanzisha FM radio nawe unataka kufanya hivyo.
. Alipoenda Tandale na kugawa misaada ukaenda Kariakoo.

4. Ziepuke hila za wanasiasa. Wanakuona sasa kwakuwa kuna watu wamekupika na kuna hadhira ikakupokea. Wanasiasa hawana marafiki wa kudumu bali wana maslahi ya kudumu. Hadhira iliyokufikisha hapo haiko kwenye kundi la wanasiasa, ni fans wako toka imani tofauti, vyama tofauti, itikadi tofauti nknk. Usiikosee na kuipa kisogo. Ikishajigawa kwa matendo yako mbele yako iko mashakani. Wanasiasa wakutumie kwa faida huku ukibalance. Epuka ahadi za uongo

5. Waangalie watu wanaokuzunguka sasa na kukusujudia. Wanafanya hivyo kwakuwa unacho cha kuwapa na wanafaidika na wewe. Punguza ziara zisizo na tija. Chagua ya kuongea. Angalia unaongea nini na nani na wapi. Usikubali kamwe kuchonganishwa na walezi wako.

6. Wewe ni msanii sio mwanasisa. Achana na hizi ziara. Rudi kajichimbie utoe vitu vipya vikali zaidi. Muda unaopoteza utakugharimu labda tu kama hutaki kurudi kwenye gemu kwa matumaini ya ahadi ya ubunge.

7. Kuna kitu kinaitwa asili. Asili pia ni shina ama ni chanzo. Una asili na WASAFI na Mondi. Kamwe usikubali kugombanishwa naye. Nasema usikubali. Shina ni shina tuu. Wakati unasubiri kumalizana na WASAFI. Usirukeruke. Hawa wapambe kila kona wanakupoteza na kukupotosha pakubwa.

Nitaendelea panapo majaliwa.

Ndimi Jr fan wa kazi zako.
[emoji28][emoji28]iyo no. 3 kuna ka ukwel

V8 na BMW X6 kama za boss wake
 
wewe chakupanga hauna uwezo kwa kumpangia harmonize cha kufanya wakati ana hustle kutoka ulikuwa nae ?
We pimbi upeo wako peleka fb kwa wanafunzi wenzako.......unareply kitu hukielewi si upite kimya kuliko kujidhalilisha..ngoja nione umejiunga jf lini maana humu hamnaga watu wenye upeo mdogo kama wako
 
Back
Top Bottom