Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

Hivi Mmejifunza nini Toka Kwa Clouds Media Na Harmonize? Kuna Somo Moja Kubwa Sana Nimejifunza UNAFIKI! Hii ni MAIN THEME ambayo unaweza Itengenezea THEORY,UNAFIKI muogope Sana Mtu Mnafiki!

-Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka!

Turudi kwenye UNAFIKIII ,Unafiki ni Somo Kubwa sana Harmonize Ameprove kuwa diamond ndio alikuwa hataki amani na Clouds ila Yeye alikuwa anataka amani! Wakati clouds hawajaaahi cheza nyimbo zake hata kabla ya Diamond Kutofautiana Nao! Alie Sababisha Diamond Atofautiane na Clouds Ni Harmonize! Diamond Alikuwa anamkingia kifua harmonize pale walipo taka kumtumia kwa faida yao,Apige show hela ndogo Diamond Aligoma na ndio ugomvi ulipo anza lakini Diamond matokeo ya kufanya vile yalionekana harmo akawa ana heshimiwa na Anafanya show za heshima! Leo Diamond hata issue tena inaonekana alikuwa anamkosesha amani na Clouds! Kusema Nyimbo zake alikuwa hapendi ambapi hazipigwi clouds ni Unafiki nakumbuka kuna interview alifanya ana aliwaponda clouds na kuwapost insta! Eti leo hata Kutaja neno WCB kwenye interview hawezi

-Unafiki wa clouds kusubiri watu wagombane yeyw aponee hapo...Wamempoteza Aslay barnanaba sahizi Wanataka kumpoteza Marioo atafuata harmo

-Usijidanganyw ukaenda kugombea ubunge lisa ni kauli Ya Rais,Raisi ni Mwanasiasa Ambae anatafuta kupigiwa makofi mbele za watu! Rudi clip ya raisi mara 10 10 utajua raisi hakumaanisha

UNAFIKIIIII
Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka! [emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]
 
Wa kike yupi?
Nimeisikiliza yote... Naweza kusema ni the best interview ever kwa wasaniii wetu hawa wa kibongo... Watangazaji walitaka kumtumia kuendeleza bifu lakini amewa outsmart pakubwa... Amewa frustrate sana haya yule wa kike...
Bado ana heshima kubwa kwa WASAFI na anawathamini na kuwaheshimu na kuwategemea sana... Amakinike tu na team yake na ahadi ya ubunge
 
Watanzania ukweli unafiki tuko juu sana hatuna jema kwetu, huu ushauri angempa boss wake kwanza Diamond kwani aliwapa heshima waliomtoa?? si aliwatupa huko na mtoto anaiga kwa baba.

Hii biashara haiendi bila kick na kick mojawapo ni maugomvi hata kama ni fake lakini sababu sisi wateja ndio tunapenda na wao wanatumia fursa. Hawa leo wakikutana vicheko kibao na mahaba basi namziki wao unakufa maana sisi washabiki hatupendi hayo tunajadili drama zaidi kuliko kazi ndio maana leo baadala ya kujadili kazi tunajadili tabia.

Uhasama wa kiushindani ni mzuri. Nchi hii ukijifanya malaika utachukiwa wewe jifanye shetani tu utakuwa midomoni kila siku, si tumeona Dudu baya katika ya watu hajui hata muziki mbovu kabisa lakini alivyoanza matusi tu na drama katoka na kupata na show wakati yule hata akiimba sehemu bure simsikilizi. vijana wanaona haya na wao wanaiga. Sisi wateja hatupendi malaika tunapenda mashetani.
 
Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka! [emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]
Si kweli kama anajitambua hawezi kukubali kama ametoka mahali tunaamini alikua analipwa vizuri na tumekiri yupo smart kichwani management yake haiwezi kubali kupatiwa pesa wanayotaka wao watanegotiate kuangalia maslahi ya kila mmoja wao ndio apige show
 
Mtu kukusaidia haimaanishi akunyonye pale wcb kuna mikataba ya kihuni sana
 
Tatizo tulilonalo tunaona WCB ndio music God so hatakiwi mtu yeyote kutofautiana nao ndio maana kila mtu ni kumtisha kijana asiweze kufanya kazi pasipo WCB mara atapotea mara atatumika vibaya huko alipo kwamba alipotoka alitumika vizuri.

Yeye mwenyewe amesema vitu vingine hawezi kusema ni kama kuharibu biashara ya watu na vijana wengine wenye nia ya kuingia pale tumuache kijana afanye kazi na tumuombee afike salama according to objectives za management yake na hii mambo ya kuendelea kumlazimisha aendelee kuwalamba miguu watu mara bila WCB asingetoka.

Kama ameamua kurudisha gharama walizompa haina maana tena kuendelea kuwalamba miguu zaidi ya kuwapa heshima anayowapa kila siku licha ya kukiri kuwa hawako sawa naye.
 
Hivi Mmejifunza nini Toka Kwa Clouds Media Na Harmonize? Kuna Somo Moja Kubwa Sana Nimejifunza UNAFIKI! Hii ni MAIN THEME ambayo unaweza Itengenezea THEORY,UNAFIKI muogope Sana Mtu Mnafiki!

-Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka!

Turudi kwenye UNAFIKIII ,Unafiki ni Somo Kubwa sana Harmonize Ameprove kuwa diamond ndio alikuwa hataki amani na Clouds ila Yeye alikuwa anataka amani! Wakati clouds hawajaaahi cheza nyimbo zake hata kabla ya Diamond Kutofautiana Nao!

Alie Sababisha Diamond Atofautiane na Clouds Ni Harmonize! Diamond Alikuwa anamkingia kifua harmonize pale walipo taka kumtumia kwa faida yao,Apige show hela ndogo Diamond Aligoma na ndio ugomvi ulipo anza lakini Diamond matokeo ya kufanya vile yalionekana harmo akawa ana heshimiwa na Anafanya show za heshima! Leo Diamond hata issue tena inaonekana alikuwa anamkosesha amani na Clouds!

Kusema Nyimbo zake alikuwa hapendi ambapi hazipigwi clouds ni Unafiki nakumbuka kuna interview alifanya ana aliwaponda clouds na kuwapost insta! Eti leo hata Kutaja neno WCB kwenye interview hawezi

-Unafiki wa clouds kusubiri watu wagombane yeyw aponee hapo...Wamempoteza Aslay barnanaba sahizi Wanataka kumpoteza Marioo atafuata harmo

-Usijidanganyw ukaenda kugombea ubunge lisa ni kauli Ya Rais,Raisi ni Mwanasiasa Ambae anatafuta kupigiwa makofi mbele za watu! Rudi clip ya raisi mara 10 10 utajua raisi hakumaanisha

UNAFIKIIIII
Umemaliza mkuu,nijuavyo mimi chanzo cha ugomvi wa clouds na mondi ni harmonize na kukolezwa na mose iyobo.Mondi aliwatetea hawa vijana na Kuwasimamisha ktk msitu mnene tena wenye wanyama wakali.

Wamefanikiwa sana wakasimama vyema.
sasa kinachotokea kwa mmakonde huyu mbele ya clouds ni kumuonyesha Diamond kua yule ulomkingia kifua mpaka tukagombana tupo naye sasa.

ILA SI MBAYA, MONDI NI MTU SAFI SANA NDO MANA WANAMUOGOPA HASWAA.
 
Hapa alifanya kosa kubwa sana kuzungumzia huo mkataba..halafu kitu kingine kwenye ile interview bado Mawingu Fm walikua wanajimwambafai na kwa ujanja mkubwa walitamani Harmonize awaombe radhi wao(angalia swali alilouliza Kennedy afu harmonize akapangua kwa kuwapa makavu) pia maswali mengi yalikua ya uchonganishi na kuhitaji kujiona wao wako perfect
Anaumia kutoa milioni 500..? Kama nakumbuka vema kuna Interview ya Diamond alisema kutoa ile nyimbo ya kwanza ya Hamonize Aiyola iligharimu milioni 100. Je vip kuhusu gharama nyingine za kumbrand..? Ili awe Hammonize? Zinaweza kuwa hazikufikia milioni 500? Kwa miaka yote mitatu?
Kama ya kuitwa Hamonize alikuwa na uwezo wa kuingiza tsh ngapi?

Lingekuwa jambo jema asizungumzie kuhusu mkataba wake na alikotoka kwenye media, sbbu kinachotokea sasa headline kwenye media zote ni tsh milion 500.
 
Si kweli kama anajitambua hawezi kukubali kama ametoka mahali tunaamini alikua analipwa vizuri na tumekiri yupo smart kichwani management yake haiwezi kubali kupatiwa pesa wanayotaka wao watanegotiate kuangalia maslahi ya kila mmoja wao ndio apige show
Unajidanganya
 
Capitalism... Haikwepeki... Hakuna cha bure bali kuna vigezo na masharti
Hivi kweli unamdai Mtu gharama Zote ulizomsaidia katika kutengeneza Videos toka anatoka mpaka leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mil 500 juu[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji24][emoji24][emoji24][emoji119][emoji119]
 
Ndio hulka ya washindwa ilivyo
Hapa alifanya kosa kubwa sana kuzungumzia huo mkataba..halafu kitu kingine kwenye ile interview bado Mawingu Fm walikua wanajimwambafai na kwa ujanja mkubwa walitamani Harmonize awaombe radhi wao(angalia swali alilouliza Kennedy afu harmonize akapangua kwa kuwapa makavu) pia maswali mengi yalikua ya uchonganishi na kuhitaji kujiona wao wako perfect
 
Ni zamu ya konde boi kila kona... Si ki mashairi vina na midundo tena bali ziara za kuonesha ukwasi, kukubalika na ukaribu na mamlaka zenye nguvu...
Tunda limewiva sasa kila mtu analitaka... Mkulima keshasahaulika.... Nina machache kwakwe Konde boi

1. Kipaji adimu/adhimu.... Hili halina ubishi.. Kipaji kipo hasa cha utunzi wa nyimbo zinazogusa hisia... Na midundo inayohamasisha kucheza... Lakini daima mkumbuke aliyekushika mkono, aliyekulea, aliyekukuza... Aliyekutoa kusikojulikana mpaka leo upo hapo ulipo... Mheshimu sana huyu.... Ana mustakabali juu yako... Usikubali kamwe kutumika ukamkejeli kumtusi ama kumsema vibaya

2. Ni haki yako kuondoka WASAFI... kwa lugha nyingine tunasema mwana kakua... Na kama ni shule tunasema umehitimu.... Nenda kwa amani, aga kwa furaha... Shukuru kwa kila jambo... Kaanze maisha mapya kwa miguu yako mwenyewe na kwa kujiamini... Lakini kamwe usinyee kambi... Usiteme bazoka kwa njugu za kuonjeshwa...
Hao wanaokusifu na kukupamba leo ndio hao hao walikudhihaki na kukutema mate huku wakikumbia miaka mitatu tu iliyopita...

3. Punguza kuiga... Kuwa na ubunifu mpya.. Japo wanasema learn from the best lakini angalia unaiga nini.... Ili isionekane kama ni copy n paste.... Utajimaliza.... Hapa wanakusema na haya na mengine mengi
. Aliponunua V8 jipya ukajibu mapigo
. Ameanzisha FM radio nawe unataka kufanya hivyo...
. Alipoenda Tandale na kugawa misaada ukaenda kariakoo...

4. Ziepuke hila za wanasiasa... Wanakuona sasa kwakuwa kuna watu wamekupika na kuna hadhira ikakupokea.... Wanasiasa hawana marafiki wa kudumu bali wana maslahi ya kudumu.... Hadhira iliyokufikisha hapo haiko kwenye kundi la wanasiasa . ni fans wako toka imani tofauti, vyama tofauti, itikadi tofauti nknk... Usiikosee na kuipa kisogo ... Ikishajigawa kwa matendo yako... Mbele yako iko mashakani.... Wanasiasa wakutumie kwa faida huku ukibalance.. Epuka ahadi za uongo

5. Waangalie watu wanaokuzunguka sasa na kukusujudia... Wanafanya hivyo kwakuwa unacho cha kuwapa na wanafaidika na wewe... Punguza ziara zisizo na tija... Chagua ya kuongea... Angalia unaongea nini na nani na wapi... Usikubali kamwe kuchonganishwa na walezi wako....

6. Wewe ni msanii sio mwanasisa... Achana na hizi ziara... Rudi kajichimbie utoe vitu vipya vikali zaidi... Muda unaopoteza utakugharimu labda tu kama hutaki kurudi kwenye gemu kwa matumaini ya ahadi ya ubunge....

7. Kuna kitu kinaitwa asili... Asili pia ni shina ama ni chanzo... Una asili na WASAFI na Mondi... Kamwe usikubali kugombanishwa naye.. Nasema usikubali... Shina ni shina tuu... Wakati unasubiri kumalizana na WASAFI... Usirukeruke... Hawa wapambe kila kona wanakupoteza na kukupotosha pakubwa.....

Nitaendelea panapo majaliwa
Ndimi Jr fan wa kazi zako......
wewe siku KIGOGO kazusha mr president ulikuwa unashangilia kwa kuvua nguo kabisa leo hii unamshauri harmonize?
 
Kama anajeuri hiyo amtengeneze underground mmoja kama alivyokua yeye amfikishe hata nusu ya level alofikishwa yeye...
wewe mwambie na Diamond atengeneze harmonize mwingne.
 
Back
Top Bottom