Harmonize kusepa WCB: Alibaniwa matamasha mengi ya pesa ndefu kuliko Diamond

Kwani kwa bongo nani anamzidi?
 
Kuendelea kumtaja taja kwa kumuhusisha saaana na waajiri wake wa zamani ni kama kujaribu kumfanya aendelee kuwa relevant courtesy of his former allies.Muacheni ajaribu kusimama mwenyewe.just hope the results won’t be fatal
 
Mi pia nimemshangaa huyu jamaa[emoji38][emoji38][emoji38], hiyo ni sawa kukata tawi mti uliokalia. Yaani umbanie msanii wako show za pesa ndefu, kwa maana hiyo Diamond hataki hela au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…