Harmonize kuwaburuza wote waliosambaza picha zake Mahakamani

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Nimeona Demand notes kutoka kwa My learned Brother J. Msemwa akisema kwamba atawafikisha Mahakamani wale wotee waliosambaza picha ya mteja wake anayejulikana kwa Jina Harmonize, Tembo au Jeshi, Kwani hayo Majina ya Harmonize, Tembo, Jeshi, yamekuwa registered kama trademark names?





 
Ataweza kuithibitishia Korti Pasi na shaka kwamba Hiyo mashine ya kusaga na kukoboa sio yake??Labda Kama Ni kuwakomoa tu walio na wanaosambaza Ila sidhani Kama anaweza kujisafisha kwa namna yoyote Katika Hili.
 
Tuliwaambia anaucheza muziki wa WCB na tukahoji management yake kama inajitambua watu mkapiga kelele oooh ana dudu kubwa kwa hiyo amewafunika WCB...Leo ndio wanastuka zile picha zinaweza kuwa kaburi lao la kufanya kazi na watu wa maana wao walifurahi kelele za mashabiki maandazi.

Rayvanny mpaka sasa kaonyesha ukomavu mkubwa na vita yake kaicheza kwa akili nyingi bila mihemko ya mitandaoni.

Hya aendelee sasa kupokea sifa za dudu kubwa za mashabiki maandazi. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

sijui huko mahakamani anaenda kushtaki kitu gani wakati picha karekodi mwenyewe na kasambaza mwenyewe au anafikiri mpka vitu vinapelekwa mjini watu awakuangalia angle ya sheria mmakonde kwisha kaziiiiiii πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
mmakonde kaja town juzi juzi tu. Anataka kuwapanda kichwani wajanja waliozaliwa town. Na safari hii atarudi mtwara kwa mguu.
mshamba sana huyo dogo acha afundishwe adabu kidogo, uzuri wanampiga pazuri kwenye rizki yeye anavuna mayowe hahaahhahaha
 
Ataweza kuithibitishia Korti Pasi na shaka kwamba Hiyo mashine ya kusaga na kukoboa sio yake??Labda Kama Ni kuwakomoa tu walio na wanaosambaza Ila sidhani Kama anaweza kujisafisha kwa namna yoyote Katika Hili.
Yaani hapo wamempiga penyewe msumari nchi 8
 
Rayvanny alificha picha, sasa sijui atathibitishaje? Rayvanny anaweza kumshtaki Harmonize kwa tuhuma za uongo na kumchafua kwenye jamii. Managers wake ni viazi sana ina maana sasa hivi ndio wanashtuka kuwa hivi vitu sio vizuri kwa msanii wao.
 
Ebu Tulitazame hili Kwenye angle ya sheria,

Na Je Harmonize, Tembo, Jeshi yamekuwa registered trademark names Yeye Kujimilikisha?
Mkuu mimi sio mwanasheria naelewa tu aspects za contract law, tort (ni mambo ambayo yanafundishwa kwenye masomo ya biashara) na admin law just because it’s straight forward.

For my one cent nadhani anaweza mshitaki mtu kutumia jina β€˜harmonize’ kwenye sanaa, but not in other aspects kwa sababu hilo neno ajalibuni yeye.

Lakini awezi kuwa na exclusive rights za neno β€˜jeshi’ wala β€˜tembo’ those are just common nouns na kuna misemo mingi ya kila siku inayoambatana na hayo majina. Mfano β€˜jeshi la mtu mmoja’ sio term aliyobuni yeye na β€˜tembo ni mnyama’ uwezi kuzuia mwingine kujiita ivyo.

Mwisho wa siku mkuu niwe mkweli what harmonize does au bongo celebrity kwa ujumla wao, wengine sio vitu vinavyo tu interest vile, ni habari ambazo tunakutana nazo kwenye social media.

But honestly speaking, even if harmonize akijirusha darajani sio kitu kitakacho kaa kichwani kwangu zaidi ya dakika 10 and that goes to all bongo celebrities all the way to diamond.
 
Harmonize anachaze na Akili zetu.
Mbona mwanzo aliimba akisema hatishiki na wanao sambaza picha zake.
Pia si swala zuri kwa Rayvan alicho fanya.
Team vanny team konde tupo pamoja wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…