I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Sheria aina umjini au umaharufu: kuna hii kitu Inaitwa DEFAMATIONmmakonde kaja town juzi juzi tu. Anataka kuwapanda kichwani wajanja waliozaliwa town. Na safari hii atarudi mtwara kwa mguu.
toka iyo sheria iwepo ushawahi kusikia nani kapewa adhabu kali? Zaidi ya utasikia kifungo cha miaka mitano au faini ya milioni tano. Ambazo kwa watu anaopambana nao huyo mmakonde milioni tano kwao sio kitu! Mmakonde choko choko kaanza mwenyewe ngoja wenzie wamnyooshe.Sheria aina umjini au umaharufu: kuna hii kitu Inaitwa DEFAMATION
Defamation is the oral or written communication of a false statement about another that unjustly harms their reputation and usually constitutes a tort or crime.
Lakini pia Cyber Law ya Tanzania ina vifungu vinaweza wapa hao anaowalaumu Kasheshe ya aina yake.Lets wait and see
Rayvan mjanja wa town?????mmakonde kaja town juzi juzi tu. Anataka kuwapanda kichwani wajanja waliozaliwa town. Na safari hii atarudi mtwara kwa mguu.
Unapo mtaja Rayvan lazime awepo mtoto wa tandale, salamu sk, babu tale na wajanja wengine kutoka pale usafiniRayvan mjanja wa town?????
Sijui kama kweli hii imeandikwa na mwanasheria; kama kweli msanii huyu ana matatizo, amezungukwa na watu wanafiki, watu hatari.Nimeona Demand notes kutoka kwa My learned Brother J. Msemwa akisema kwamba atawafikisha Mahakamani wale wotee waliosambaza picha ya mteja wake anayejulikana kwa Jina Harmonize, Tembo au Jeshi, Kwani hayo Majina ya Harmonize, Tembo, Jeshi, yamekuwa registered kama trademark names?
View attachment 1751680
View attachment 1751681
Anatuchanganya mbona, kwahiyo lile dude sio lake?kumekucha
Nakuelewa sana kaka... vipi kuhusu hii sheria ya kuweka hadharani faraga ya mtu, haiwezi ika apply hapo[emoji780]Mkuu mimi sio mwanasheria naelewa tu aspects za contract law, tort (ni mambo ambayo yanafundishwa kwenye masomo ya biashara) na admin law just because it’s straight forward.
For my one cent nadhani anaweza mshitaki mtu kutumia jina ‘harmonize’ kwenye sanaa, but not in other aspects kwa sababu hilo neno ajalibuni yeye.
Lakini awezi kuwa na exclusive rights za neno ‘jeshi’ wala ‘tembo’ those are just common nouns na kuna misemo mingi ya kila siku inayoambatana na hayo majina. Mfano ‘jeshi la mtu mmoja’ sio term aliyobuni yeye na ‘tembo ni mnyama’ uwezi kuzuia mwingine kujiita ivyo.
Mwisho wa siku mkuu niwe mkweli what harmonize does au bongo celebrity kwa ujumla wao wengine sio vitu vinavyo tu interest vile, ni habari ambazo tunakutana nazo kwenye social media.
But honestly speaking even if harmonize akijirusha darajani sio kitu kitakacho kaa kichwani kwangu zaidi ya dakika 10 and that goes to all bongo celebrities all the way to diamond.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anatuchanganya mbona, kwahiyo lile dude sio lake?
InnuendoEbu Tulitazame hili Kwenye angle ya sheria,
Na Je Harmonize, Tembo, Jeshi yamekuwa registered trademark names Yeye Kujimilikisha?
Kumekuchaaaaaah sasa mweeeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23
Kwani entities zote zinasajiliwa RITA na NIDA pekee!? je Simba Sports Clubs ipo RITA au NIDA.Nimeenda kupekua kule Rita na Nida sijaona Mtanzania aitwaye Harmonize wala la kufanania so Hamna kesi hapo....
Nimekupata sana mkuu wangu young solicitor maana kuna mahali nilikua namsikiliza laywer fln akaniambia fine ya kuonesha faragha ya mtu ni 20bil... niliogopa sana.Innuendo
Katika case ya Yosoupuf versus MGM studios
Mahakama iliapply hii doctrine ya "innuendo " kumaanisha unaweza kufanya/kusema kitu bila kumtaja mtu mojakwamoja lakini jamii ikawa na mtazamo (form an opinion) kwamba unayemsema ni flani.
Ni ngumu kuiprove lakini legally inawezekana.
Sio mshabiki ila nimetoa tu mtizamo wa kisheria under tort of defamation.
Tz hii 20bil sizani kama ni kweli,ninavo sikia haizidi hata 10mil,manake kama ndio hivyo Mwijaku na ile kesi yake ya kusambaza picha za Menina kama akihukumiwa tunaweza msahau.Nimekupata sana mkuu wangu young solicitor maana kuna mahali nilikua namsikiliza laywer fln akaniambia fine ya kuonesha faragha ya mtu ni 20bil... niliogopa sana..