Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Ukubali ukatae ila kwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri.
Ana Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola laki 2 kuendelea mwezi wa 12 atakuwa na concert pale Wembley Uingereza.
Na huenda akawa msanii wa kwanza kutoka Afrika kuujaza!
Ana Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola laki 2 kuendelea mwezi wa 12 atakuwa na concert pale Wembley Uingereza.
Na huenda akawa msanii wa kwanza kutoka Afrika kuujaza!