Harmonize kwa sasa ndio msanii pendwa kuliko wote Tanzania na mwenye mafanikio kimuziki. Kuujaza Wembley Stadium Desemba

Harmonize kwa sasa ndio msanii pendwa kuliko wote Tanzania na mwenye mafanikio kimuziki. Kuujaza Wembley Stadium Desemba

Ukubali ukatae ila jwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri.

AaShow zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola laki 2 kuendelea mwezi wa 12 atakuwa na concert pale Wembley uingerezaView attachment 2292390 na huenda akawa msanii wa kwanza kutoka Afrika kuujaza!
Desemba sio mbali mdau......
 
Ukubali ukatae ila kwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri.

Ana Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola laki 2 kuendelea mwezi wa 12 atakuwa na concert pale Wembley Uingereza.

View attachment 2292390 na huenda akawa msanii wa kwanza kutoka Afrika kuujaza!
Sijajua kuwa na wewe ni chawa
 
Ukubali ukatae ila kwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri.

Ana Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola laki 2 kuendelea mwezi wa 12 atakuwa na concert pale Wembley Uingereza.

View attachment 2292390 na huenda akawa msanii wa kwanza kutoka Afrika kuujaza!
Kajala unajitahidi
 
IMG-20221016-WA0003.jpg
 
Harmonize ametulia kama jina lake HARMONY walahi [emoji257]
 
Back
Top Bottom