We ushakufa tayariWivu utakuua wewe!
Yananiuma ya Rayvanny mkuu.Mafanikio ya harmonize yanakuuma sana! Na bado huu ni mwanzo tu!
Huyo ndio KondeboyWe si uliona kuke kenya alipanda jukwaani akakohoa mara 3 akashuka zake kapewa milioni 50 kwa kukohoa mara 3
Ukubali ukatae ila jwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri. Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola laki 2 kuendelea mwezi wa 12 atakuwa na concert pale Wembley uingerezaView attachment 2292390 na huenda akawa msanii wa kwanza kutoka Afrika kuujaza!
Hahaha na magari ya kukodi yaleYukoje Vzr Kipesa wakati ameshindwa Kulipa Hela Ya Kodi Ya Eng. Usiri.... Sifa za Kijinga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app