Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kwani we umeona Harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCBHuyu mwamba kipindi anajitoa wcb yaliongeleka mengi sana kuwa Hana muda atapotea.
Wcb walikuwa wanajiona wao ndio baba wa muziki hapa tz hivyo ukiwa kinyume nao safari yako kimuziki itaisha.
Hawa jamaa si watu wazuri kabisa kwanza hawapendi ushindani wanapenda wao tu ndio wafanikiwe huu ujinga wamewajaza mpaka mashabiki zao.
Hongera Harmonize umewaprove wrong wamepambana sana kueneza chuki dhidi yako, ili watanzania wakuchukie lakini wamefeli.
Tafuta hela UCHAWI HAUTOKUTOA.Kwani we umeona harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCB
Wmbo wenye views Zaid ya 20m[emoji777]
Collaboration Kali ya nje [emoji777]
Album iliyofanya poa[emoji777]
Mambo aliyofanya vizuri baada ya kutoka WCB
MIHADARATI [emoji3581][emoji3581]
Kiki[emoji3581][emoji3581]
Kujaza watu show mtwara arena ...[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji736]
Kulia kwenye media[emoji3581][emoji3581][emoji736]..
[emoji848]Tafuta hela UCHAWI HAUTOKUTOA.
Uwingi wa chawa ni Vywawa?Ngoja vywawa wa dabliusibii waje
ChawaUwingi wa chawa ni Vywawa?
Kwa mujibu wa biblia..Labani ni mwizi wa mali ya mpwa wake na mkwewe aitwaye Yakobo, ni baba mkwe tapeli kwa kifupi.Kwani we umeona harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCB
Wmbo wenye views Zaid ya 20m[emoji777]
Collaboration Kali ya nje [emoji777]
Album iliyofanya poa[emoji777]
Mambo aliyofanya vizuri baada ya kutoka WCB
MIHADARATI [emoji3581][emoji3581]
Kiki[emoji3581][emoji3581]
Kujaza watu show mtwara arena ...[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji736]
Kulia kwenye media[emoji3581][emoji3581][emoji736]..
Punguza chuki utakufa masikin unaona kondeboy hakuna alilofanya Leo hii .hujui kituKwani we umeona harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCB
Wmbo wenye views Zaid ya 20m[emoji777]
Collaboration Kali ya nje [emoji777]
Album iliyofanya poa[emoji777]
Mambo aliyofanya vizuri baada ya kutoka WCB
MIHADARATI [emoji3581][emoji3581]
Kiki[emoji3581][emoji3581]
Kujaza watu show mtwara arena ...[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji736]
Kulia kwenye media[emoji3581][emoji3581][emoji736]..
Mbona kafanya mengi makubwa!Kwani we umeona harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCB
Wmbo wenye views Zaid ya 20m[emoji777]
Collaboration Kali ya nje [emoji777]
Album iliyofanya poa[emoji777]
Mambo aliyofanya vizuri baada ya kutoka WCB
MIHADARATI [emoji3581][emoji3581]
Kiki[emoji3581][emoji3581]
Kujaza watu show mtwara arena ...[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji736]
Kulia kwenye media[emoji3581][emoji3581][emoji736]..
Angekuwa anapotea kimziki angeshapotea kama Rich Mavoko ,Harmonize anapambana yuko vizuriTangu tuanze kuhesabu imepita mwaka sasa karibu miaka miwili lakini jamaa yupo tu .
Anakufa kimuziki lini sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waswahili kiboko.Uwingi wa chawa ni Vywawa?
Kila mtu na mambo yake, acha kuwapa lawama wcb kwa mambo ya kijingaHuyu mwamba kipindi anajitoa wcb yaliongeleka mengi sana kuwa Hana muda atapotea.
Wcb walikuwa wanajiona wao ndio baba wa muziki hapa tz hivyo ukiwa kinyume nao safari yako kimuziki itaisha.
Hawa jamaa si watu wazuri kabisa kwanza hawapendi ushindani wanapenda wao tu ndio wafanikiwe huu ujinga wamewajaza mpaka mashabiki zao.
Hongera Harmonize umewaprove wrong wamepambana sana kueneza chuki dhidi yako, ili watanzania wakuchukie lakini wamefeli.
Acha roho mbayaKwani we umeona harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCB
Wmbo wenye views Zaid ya 20m[emoji777]
Collaboration Kali ya nje [emoji777]
Album iliyofanya poa[emoji777]
Mambo aliyofanya vizuri baada ya kutoka WCB
MIHADARATI [emoji3581][emoji3581]
Kiki[emoji3581][emoji3581]
Kujaza watu show mtwara arena ...[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji736]
Kulia kwenye media[emoji3581][emoji3581][emoji736]..
Shogaa angu konde alikukopa anuani ya makazi? Hakulipia kibao cha jina la mtaa wako? Mbna uko bitter sana? LolKwani we umeona Harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCB
Wmbo wenye views Zaid ya 20m[emoji777]
Collaboration Kali ya nje [emoji777]
Album iliyofanya poa[emoji777]
Mambo aliyofanya vizuri baada ya kutoka WCB
MIHADARATI [emoji3581][emoji3581]
Kiki[emoji3581][emoji3581]
Kujaza watu show Mtwara arena ...[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji736]
Kulia kwenye media[emoji3581][emoji3581][emoji736]..