Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Wote wamepingukiwa

Hilo ni tatizo la kitaifa. Hali ni mbaya sana na watu wanaona ni poa tu. Siyo hao tu...
Na nitatizo kweli nimekutana na post nyingi watu hawajui kuandika kabisa unakutana na bonge la mdada ila hajui kuandika najiuliza hizi shule za mwaka 2000 nn mbaya
 
Mwanaume unaandikaje hivyoo asee huyu mmakonde mbona anaanza kulainika unajua mabasha huwa wanatamani vitu vya ajabu.
Kama anabishaa asome hicho alichoandika kwa sauti uone kama watu hawajadindishaa..

Et asome icho alichoandika kwa saut aone kama watu hawajadindisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu we n wa Ovyo sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulipiga?
Sikumpiga nilimfanyia ka kitu kadogo ambako kalimuumiza najua maana alianza omba watu waongee na mm tumalizane kistaarabu nikawaambia kaka zake uyo si mjanja muacheni tuone ujinga wake toka apo ananiogopa mno
 
Sikumpiga nilimfanyia ka kitu kadogo ambako kalimuumiza najua maana alianza omba watu waongee na mm tumalizane kistaarabu nikawaambia kaka zake uyo si mjanja muacheni tuone ujinga wake toka apo ananiogopa mno
Vizuri😊🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…