Wote wamepingukiwaMjin watoto wa kiume wanachamba kuliko dada zao
Hilo ni tatizo la kitaifa. Hali ni mbaya sana na watu wanaona ni poa tu. Siyo hao tu...Mhh mpaka leo konde hajui kuandika kiswahili tu. Kingereza itakuaje
Na nitatizo kweli nimekutana na post nyingi watu hawajui kuandika kabisa unakutana na bonge la mdada ila hajui kuandika najiuliza hizi shule za mwaka 2000 nn mbayaWote wamepingukiwa
Hilo ni tatizo la kitaifa. Hali ni mbaya sana na watu wanaona ni poa tu. Siyo hao tu...
Mwanaume unaandikaje hivyoo asee huyu mmakonde mbona anaanza kulainika unajua mabasha huwa wanatamani vitu vya ajabu.
Kama anabishaa asome hicho alichoandika kwa sauti uone kama watu hawajadindishaa..
😂😂😂Et asome icho alichoandika kwa saut aone kama watu hawajadindisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu we n wa Ovyo sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa huu mwandiko inaonekana wewe ni pacha wakeHakika Ngoma za Konde ni Kari na anajuwa kuhimba kwerikweri 🤣🤣 ila huyu mmakonde kwenye R anaweka L kwenye L anaweka R aisee😁
🤣🤣🤣Ulipiga?Assume unaambiwa wewe huna lolote mara govi tu vitu vya uongo nikaona ananipanda kichwani nikatake one action tu ya kuonesha uanaume hadi Leo ananiogopa ningetulia angesumbua
🤣🤣🤣Ivo yaan 🤒X anakaliwa kimya tu mpaka akili ina mkaa sawa
UmeonaLeo ndio anajua kajala ni mzee [emoji2][emoji2] maneno ya mkosaji.
Sikumpiga nilimfanyia ka kitu kadogo ambako kalimuumiza najua maana alianza omba watu waongee na mm tumalizane kistaarabu nikawaambia kaka zake uyo si mjanja muacheni tuone ujinga wake toka apo ananiogopa mno[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulipiga?
Vizuri😊🤭Sikumpiga nilimfanyia ka kitu kadogo ambako kalimuumiza najua maana alianza omba watu waongee na mm tumalizane kistaarabu nikawaambia kaka zake uyo si mjanja muacheni tuone ujinga wake toka apo ananiogopa mno
NYIE WANAWAKE MNA KAZI. SASA HAYO WEWE KWELI UNAYASHIKIA BANGO? WANAWAKE HAMPENDANI.Star wa Bongo Flava, Harmonize amemchana aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja na kumwambia aache kumzungumzia vibaya wakati bado anahangaika kutaka warudiane.View attachment 2713440View attachment 2713846View attachment 2713847View attachment 2713848View attachment 2713848
[emoji16][emoji16][emoji16]Paula mrembo sana, anakojoa Ceres Fruit Juice