Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Konde anashindwa achilia iende...
Damn shame... In the art of war this is what we call....

'man down '
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila harmo na Kajala, wana heka heka balaaa, kiki inatafutwa kwa nguvu siku hiziii.
Woiiiiih
 
Mambo kumbe ya moto eeh sijui kwa nini sina Mb nakosa ubuyu

Enheee mtoa mada ongeza screenshot tusafishe macho.
Uwe unaniita, maana nakosa ubuyuu siku hizi, sijui nimeanza kuzeeka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani ni aibu[emoji2304]
Wamefadhiliwa Sana na konde, alishampa minoti baba yake mzazi, duka lile kawawezesha konde, asilimia 10 za konde kazifaidi imevuja hiyo, kweli konde kachunwa, kajala bwana bwege Kama Yule hatampata wapi bongo nyoso, mwenzie mabeto kapata pa kuchuna kwingine.
 
Wanajisifu yeye na mtoto wake wanapesa leo Hamo katoboa siri amewajengea wazazi wa kajala huko goba ila konde anajua kuhonga aisee[emoji16][emoji16]
Kachunwa kweli, Bora angewekeza kwa mtoto wake.
 
hivi ni kweli hyuyu dada analiwa Kinyeo ? au ni stori za mitaani tu
 
Wanajisifu yeye na mtoto wake wanapesa leo Hamo katoboa siri amewajengea wazazi wa kajala huko goba ila konde anajua kuhonga aisee[emoji16][emoji16]
Mpuuzi tu si aliingia kingi Mwenyewe kajala kadate na wangapi hawajamjengea?
Ni mjinga harmonize
 
Wale ni Wajinga sana...

Yale malezi anayompa yule Binti yake sijui amejifunzia wapi... Imagine maisha Kajala aliyoishi,Jela alipopita,Bado anataka na Binti yake naye aje apite kule kule alikopita..

Nadhani ndiyo maana P-Funk aliamua kukaa kimya..
Naimani angekua jela mpk Leo Paula angekua mtoto mzuri saña yule maana angelelewa na baba Ake
 
Hapa majirani mbona wanakoma?
Nina mchele wangu robo tatu kila siku natoka nje naupetaaa halafu naurudisha ndani nasonga zangu ugali.
Maganda ya mayai kwa muuza chipsi hapo mtaa wa pili nabeba kila siku natoa nje na taka.
Tutaelewana tu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]nimeipentaaaa
 
Ndy maana tunasema kwamba mwanamke ukiwa nae ktk mahusiano unapaswa Kula kila kitu,,.usibakishe kitu.

Kajala kama angekuwa ameshawahi hata mara moja kuchafua shuka kwa kinyesi ..

Leo yasingetokea haya..kwa harmonize.

Haya ndy madhara ya kucheka cheka na mwanamke kitandani.
 
Ila sepenga nikimuangalia nacheka sana na chibaba wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo celebs wanatuongezea sana siku za kuishi
From kukodi ndege ,kupanga nyumba ya milllioni 400 mpk paleee
 
Back
Top Bottom