Harmonize ni mnafiki sana

Harmonize ni mnafiki sana

Mupunguze kutaka kupangia watu maisha.. na haswa muwache roho mbaya na wivu.. mjipe amani kwa kuwatakia wengine mema
 
Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.

Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.

Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .

Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.


Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.


He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.

WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.
Wcb for life [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yule jamaa mi mwenyewe nilikua na mfwatilia saaan tok anachukuliwa na chibuu alikua mnyenyekevu saaan yaani alikua anajifany anaheshima saana lkn alipoanza kupewa kichwa akaanza kuwa na tudharau mara kwenye show akienda anaenda na gari yake mwenyewe akat adi boss wake anapand bus moja na wasanii wengine wotee wajione wapo sawa. mwaka huu hauishi lzm matokeo tuyaone na anajivunia skuiz anashinda na akina nyandu cjui kaanza deal za madawa
 
Wcb for life [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yule jamaa mi mwenyewe nilikua na mfwatilia saaan tok anachukuliwa na chibuu alikua mnyenyekevu saaan yaani alikua anajifany anaheshima saana lkn alipoanza kupewa kichwa akaanza kuwa na tudharau mara kwenye show akienda anaenda na gari yake mwenyewe akat adi boss wake anapand bus moja na wasanii wengine wotee wajione wapo sawa. mwaka huu hauishi lzm matokeo tuyaone na anajivunia skuiz anashinda na akina nyandu cjui kaanza deal za madawa
Anapotea taratibu.

Wahuni wameshamzimia data.
 
Mbona jamaa yupo fresh tu, nimeona juzi alipokuwa anaperform london akitoa S/O kwa Diamond.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi kwelikweli
 
Wewe utakuwa na jinsia ya ke lkn umeamua kutumia jina na profile pic ya me, usipoangalia utatinduliwa kwa wivu na chuki. Unaongea km mwanamke aliyekopwa gest
 
Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.

Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.

Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .

Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.


Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.

He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.

WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.
Tuanze na unafiki wako. Kabla ya wcb,ulikuwa upande upi?.
 
Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.

Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.

Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .

Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.


Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.


He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.

WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.

Watu walioko biashara moja ni kawaida kua na wivu!

Hivyo huu wivu ni very normal animal trait!
 
Mupunguze kutaka kupangia watu maisha.. na haswa muwache roho mbaya na wivu.. mjipe amani kwa kuwatakia wengine mema
Kwanza watu wengi wakikusaidia baadaye nyodo kibao kisa kakusaidia, hata kwenye makazi tunayaona, yeye mwenyewe kasaidiwa , waliomtoa bado yupo nao, hata kwenye sherehe zake hatuwaoni kuwakaribisha.
 
Back
Top Bottom