Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dogo si nilikwambia nakutafutaHarmonize pia ni tajiri wa melodies..
Nyimbo zake zinamelodies ambazo hazifanani fanani sana.
Uliniambia wapi hapo?..sijaona mbona?We dogo si nilikwambia nakutafuta
uyo mmakonde atakuja kutuua kwa stress na hizo nyimbo zake za mapenziWimbo wa Dounia umefanya nijue ana akili kweli. Wimbo mtam sana ila napigilia msumari kauli niliyowai kuskia kwa Diamond kuwa kwa burudan za kimataifa kutoboa usijar tungo busara bali beat na kumiliki jukwaa.
Hapa ndo diamond na squad yake kanawaacha mbali. Wimbo wa Harmo kwa tunzi na beat ni wetu tu. Ni mtazamo wang sina uteam, mana binafs sijawai kuhama kundi la rhumba na sebene!
Uliamua kutokuonaUliniambia wapi hapo?..sijaona mbona?
Mno!!Dunia, ni Bonge ya Nyimbo Isee
Sorry..sikuuona huo ujumbeUliamua kutokuona
Jukwaani hukuhuku
Unapishana na gari la mshahara.Sorry..sikuuona huo ujumbe
Kwa uchawi pia ni moto wa kuotea mbaliKiukweli wamepita wasanii wengi Tanzania wenye weredi na ubunifu mkubwa walitunga tungo zenye kubamba haswaa ila katika kizazi hichi tulicho sasa wapo wengi wanafanya vizuri Ila huyu mmakonde Harmonize ni mbunifu kwakweli mimi hii wimbo wake wa MTAJE bila kuangalia ujumbe imetulia sana.