Rayvan mnafiki wenu amekiri wazi kuwa Domo alikuwa anamuogopa kondeHarmonize Ana force kushindanishwa na Diamond apo ndo anakosea saana Diamond ni mkubwa kuliko Harmonize, Diamond mshindani wake ni Ali kiba na Sio Harmonize. Mmakonde atulie saana mda wake bado kushindana na Diamond.
Vipi album yake umeisikiliza? Mkuu yu de basti mamedulla 😅Najua teacher umeicheza Sana Bar
😂😂😂😂[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TZ vichaa wengi nakuambia na hivi bando zimepanda bei!acha turopoke!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kazi yake kolabo ambazo hazieleweki,yani awilo tunasikia kelele tu,ukirudi amapiano amecopy 90% ya wimbo wote kaongeza maneno yake machache...kiukweli anazidiwa mziki hata na mariooSijasikiliza hata nyimbo zake....ndo kile kiingereza cha ago kill u??? Akankill ma self???
Miaka mitatu tangu atoke huko kwa msenge, tofauti na kuvimba mwili ni kitu gani amefanikisha kwa ukubwa tofauti na alivyokuwa kule? Huenda sijui chochote.Nasibu ni nsenge wa kiwango cha lami, chawa wa diamond mnisamehe tu kwa kumtukana laaziz wenu, diamond ni mfano wa vijana wengi ambao hawataki kabisa maendeleo ya wengine, wakiona unaanza ku shine, wako tayar hata kukuua usifikie mafanikio yao, wewe ubaki chini tu milele..
Kumbe wamo bhna 😂 hi inchi ni ngumu kwa kwel[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wit ujue akili huna wewee!!umenchekesha sana ujue[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]!!!kaahh
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Je mtu kusema yake ya moyoni ndio kigezo cha mziki kumshinda?
Sidhani kama uwezo wako wa kufikiri ndio umefikia kikomo na kufikia hilo hitimisho eti muziki umemshinda.
Wapi kasema yeye mkali?Kwenye huo uzi hapo, amenukuliwa akisema kuwa management nzima ya wasafi ilikua inamuogopa kuwa anakwenda kumshinda Diamond, baba ake akienda kumsalimia anaambiwa ameenda kuwaroga, akaamua kuondoka
Sasa mbona mpaka sasa bado hajamshinda ikiwa anajiona ye ni mkali kiasi cha kuogopwa na management nzima ya WCB??
Kama hashindani nae wala hataki kumzidi maneno neno yasiyo na tija ya kazi gani???
Hizo voice note Rayvanny alishaliongelea muda mrefu sana kupitia interview yake na alisema yy alikuwa upande wa Mmakonde hata mbele ya Diamond mwenyewe na ni kawaida tu ndani ofisi moja wafanyakazi kuteteana hata kama wafanyakazi ndo wamefanya makosaRayvan mnafiki wenu amekiri wazi kuwa Domo alikuwa anamuogopa konde
Mkuu naona umekuwa kiakili sasa.Kondeboy fighter aka mtu mbadi
Ile "Mang'dakiwe" alipita nayo yote vilevile kaongezwa vimaneno kidogo, tayari akawa Teacher.Kazi yake kolabo ambazo hazieleweki,yani awilo tunasikia kelele tu,ukirudi amapiano amecopy 90% ya wimbo wote kaongeza maneno yake machache...kiukweli anazidiwa mziki hata na marioo
Akikujibu nakmba unitagi. Yani jf imekuja kuwa na watu wa ovyo sana😂😂Una akili timamu ??
Sawa mmakondeAnawatuma mama ako
Umeamua kutosikiliza tuSijawahi kuwasikia WCB wakisema hayo, ambae huwa anapiga kelele ni yeye
Una akili nyingi sana... Kijeba wa kimakonde anatema ndoano na vita haijaaanza.Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.
Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.
Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.
Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.
Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.
Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.
Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Kwanza ndo hata sijui ndo nyimbo gani?Najua teacher umeicheza Sana Bar
Hata hao kina Tale hawajawahi kuwaita waandishi wa hbr kuwaambia kuwa tunaonewa au kunyonywaHakulia lia wapi?!!si alikua anatumia chawa wake kina tale tale waongee!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Watu wana comments kimihemko jumlisha U timukubali tu hujatazama hii interview au unakwepa kukubali ukweli dogo kafunguka ya ndani madale wapo uchi.
Ndio maana nimesema nimechambua pumba na taka zingine. Kumrekodi mtu bila ridhaa yake ni kosa, lakini haiondoi ukweli kwamba kuna mengine mengi yana ukweli humo ndani. Hasa issue yake ya mkataba. Nnachoona hapo watu wanao wazunguka wamechangia kuharibu urafiki wao.Sasa swali linakuja unapomrekodi mwanaume mwenzio kwenye simu malengo yako ni nini?
Je huyo Rayvanny kampa go ahead huyu mmakonde kuongea faragha zake?
Angetaka sympathy angesema haya toka alipotoka WCB, tatizo ka mungu mtu ka madale kanataka kusujudiwa.Harmonaize anaweza kuwa sahihi ila anachokifanya ni kutafuta public sympathy kumsagia kunguni mwenzake huu ndio utanzania wenyewe. Mimi nafikili hana washauri na kama wapo hawamjengi kiproffessional. Anachokifanya ni tabia ya uswahili aangalie atakuja kukosa endorsement maana haoneshi ukomavu yako kama mwanamke anaelialia kutafuta huruma.