Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Point
 
relaaaax mwache kijana aongee mnataka afiche maovu yenu ili muendelee kumpaka ubaya.

msipanic kubalini tu kuchutama mmeachwa uchi.
Unazungumzia uchi
Umekula leo?

Una uhakika usiku ulipata usingizi wa kutosha
 
Jamaa maku sana,unabana hadi collaboration zisitoke za Shomadjozi na master KG zisitoke.

Nasikia hata Darrasa walibana show yake Oman,wakasema jamaa waachane nae eti ni mvuta bangi.Roho mbaya sana Domo
Kwani hao wakina shomadjozi na masterKG meneja wao ni Diamond mpk azuie collabo zisitoke

Use your brain
Akili mtu wangu
 
"Wamakonde hamtuwezi kiserikali, hamtuwezi kipesa na hamtuwezi kiuchawi vilevile"
 
Punguza kuponda mdau


Mimi naamini hata wale wanaijeria wanaimba visivyoeleweka.....

Kama unataka uendelee kubishana weka hapa nyimbo za wanaijeria ulizozielewa
Wanigeria wanaimba Nigerian Pidgin, na inatumika sana huko nje, hata BBC wanatoa taarifa kwa lugha hiyo (Domot - BBC News Pidgin).

Shida ninayoponda ni kujaribu kusound kama wanaija huku hauna maana kwenye lyrics zako zikipelekwa huko nje, na zikiletwa huku kwa waswahili tunakuwa pia hatuelewi.

Mfano huu ni wimbo wa Burna Boy Anybody, unamaana inayoeleweka na hata ukifuatilia ujumbe wake unauelewa yeye mwenyewe anauongelea hapo kwenye video.
Your browser is not able to display this video.


Kucopy sound ya Nigeria au South Africa ili uusukume kazi zako kimataifa haina shida ila, lugha iwe inamaana....na sio kwa Harmonize tu kuna wasanii wengi tu siku hizi unawaoona wanahangaika kuiga sound kutoka upande fulani wakati lugha ni mzigo. Ukimsikiliza Anjella hapa hata kama amefanya cover utaona fluency ya lugha iliyopo,

Your browser is not able to display this video.


Angeweza kutumia mbinu kama kuwa na mtu anayekusaidia kuweka mashairi sawa mwenye command nzuri ya english au hiyo pigdin anayotaka kuitumia, na kukaza zaidi kwenye kuongeza fluency ya matamshi kama anataka kuimba kiingereza. Penye ukweli tuseme ukweli, binafsi baada ya kuona alivyokuwa akipondwa kuhusu english yake kwenye Afro East nilitegemea ningeona mabadiliko ambayo ni positive ila ni kama ameongeza tu matatizo.
 
Katema nyongo zake
Kutema nyongo haisaidii chochote, back to Ommy dimpoz, sheta, rich maboko na wote hawa wanavipaji vya kufa mtu ila walipoanza kulalamika kwamba Diamond anawazibia riziki zao na tayari hiyo ilikuwa ni indication ya kufeli kwenye mziki

Back to Diamond during Ruge Era, he stand alone against big media tycoon and win the battle

Wamakonde Endeleeni kupambana na acheni kutia huruma mjini
 
Polen sana.
Mmevuliwa nguo
 
Hongera sana Mr, af nilikumic mno, [emoji7][emoji7]
 
Nikisema nasibu anawakilisha wapumbavu, mmoja wao ni wewe ..ona unavyojibu hoja ..ngoja na mimi nikujibu kipumbavu..sijawahi kula wala kulala maisha yote...
Sawa mmakonde
 
Ila Harmonize ni mnafiki sana yule jamaa pia anapenda sana kuonewa huruma na kuonekana mwema sana wakati sio kweli, yani wanaume mnaongea then wewe unarecord ili iweje? kanishangaza sana jamaa hivi leo hii hata akiwa na ishu sensitive nani mjinga anaweza kubali kuongea nae ikiwa anajua nitarecodiwa, yeye kaona vyema but kwa watu wenye akili kaharibu vibaya mno.

Kutwa kumsema diamond yeye akirudishiwa moja anashusha magazeti na press anaita hahaha.. kamchonganisha vanny na serikali enzi za paula leo tena anachonganisha serikali na Diamond.

Tumuone sasa akifikia ukubwa na diamond si katoka wcb mbona hakui yuko pale pale anaongezeka mwili tu.
 
Heheee wacha movie iendelee. Ila harmonize sio wa kwanza kumkandia mondi kny vyombo vya habari.

Nikikumbuka ya zari siku hizi wamekua mabest nawacheck tuuuu
 
Ukubwa ashafikia saiv amevimba km kapulizwa. Ila ukubwa kimuziki avute shuka aendelee kuota maana hafiki leo wala kesho. Alijaribu kiki nyingi kachemsha kaona hii ya wcb itamboost big time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…