Ngoja waje ila watakataa hili jambo aiseeMsisahau kilichokua kinamweka harmo wasafi sio fadhila wala msaada ni kipaji chake,na wasafi walishanufaika nae.
Wamemnyonya sana na mkataba amevunja na akawalipa.
Alipe fadhila gani tena?
Unaweza kumlipa mtu kabla ya kupewa mkataba wa kuterminate, na hiyo Termination contract Ndio inaonesha kiasi anachopaswa kulipaKwanini alipomlipa alikataa kumpa mkataba wa kuterminate? hapa tu ndiyo alipoboa!!
umemaliza kila kituHuyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.
Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.
Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.
Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.
Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.
Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.
Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
daaaaaaaaaaaa......😂😂😂😂😂😂Sijasikiliza hata nyimbo zake....ndo kile kiingereza cha ago kill u??? Akankill ma self???
wamakonde mna tatizo sanaNimeamini kuna watu wanaweza kukuchukia na hujawafanyia lolote baya,
Harmonize
1. Aliutekeleza mkataba wake WCB vizuri
2. Waliposhindwana wakamalizana vizuri na wcb wakavuta pesa waliyokuwa wanaitaka (600M)
Choko choko za nini sasa?mtu ana demand respect kwa mtu ambaye alitaka kumuangusha??? Naamini mmoja wenu hapa ndiye angekuwa Harmonize uvuliwe milioni 600 si ajabu hata mngekuwa mmeshamloga Diamond kafia mbali
He stand alone against big media tycoon and win the battle.Kingereza chako hovyo kama unabisha lete mkono tushindane.Kutema nyongo haisaidii chochote, back to Ommy dimpoz, sheta, rich maboko na wote hawa wanavipaji vya kufa mtu ila walipoanza kulalamika kwamba Diamond anawazibia riziki zao na tayari hiyo ilikuwa ni indication ya kufeli kwenye mziki
Back to Diamond during Ruge Era, he stand alone against big media tycoon and win the battle
Wamakonde Endeleeni kupambana na acheni kutia huruma mjini
comment hii iwekewe lamination...........Hakuna shughuli hapo
Harmonize inabidi atoe respect kwa mtu aliyemuokota baada ya kuambiwa na BSS kuwa hajui kuimba ila Diamond akaamini kipaji chake na kumsaidia kufika alipofika leo hii
Huyo rayvanny mwenyewe alikuwa ameachwa na Madee kwenye ile label yao kwa kuambiwa hajui kitu ila Simba akamchukua na kuamini kipaji chake na leo hii yupo juu
Muangalie Mbosso khan leo hii wenzake wa kundi la Ya moto band wapo wapi na wanafanya nini kwenye industry? Aslay na yule Beka flavour
Tuje tumsuguse Zuchu right now, one of the top female artist in East and Central Africa
Ooooh!, This Dude Simba need appreciation kwa kutengeneza wasanii wakubwa ambao wanaweza kufanya competition na yy mwenyewe coz label nyingi hapa bongo wameshindwa kufanya ambacho amekifanya yy
Pia wakumbuke ile music label yake sio kwa ajili ya social charity Ila ipo for profit gain
Kwahyo mkiujua huo ukweli ndo huyo Mmakonde mwenzako atafanya vzr kimzikiVichwa panz Ni miongon na wewe ,wapi jamaa hajamuappriciate Domo ?kijana alifaya rejesho vzr tu baadae huyo Domo akaanza kugomea kumpa mkataba wa harmo kuwa huru ,had jpm kuingilia Kati ,vipi kwa hapo Nan Ana roho mbaya ? Yaan umelipwa alafu hutak kusain Sasa kuwa tumemalizana fanya yako ,unaanza kumzungusha mwenzio na alipanga aende USA bila kumpa dogo mkataba wake lengo tu ampoteze dogo ,bahat nzuri serikal ikaingilia Kati had jamaa kuzuiwa uwanja wa ndege kuwa asiende USA bila kumalizana na dogo .
Kwa hili tu Domo alikuwa na ajenda mbaya kwa harmo na harmo alisaidiwa na jpm asingekuwepo jpm huenda had Leo Domo angekuwa anamkamua tu harmo kwa sabab za kijinga ,yaan mtu kwenda msiban kwa ruge et million 10 ,kwenda taifa kuchek mpira million 10.
Wote mnaomsaidia Domo nawana vilaza wa kutupwa tu full ushabik mavi ,why yeye tu agombane na kiba,dimpoz ,sheta,mavoko ,KONDE huoni huyo mtu ana roho ya kwann ? Na kajificha kwenye kivuli Cha kuwa na mashabik zero brain ambao hawajui hata kufikiria nje ya box? Uchawa wenu ndio unaua mzik wa tz .
Kwa aliongea harmo Kuna sehemu moja tu ndio sijapenda kuvujisha audio ya vanny pale ndio kazingua Sana Ila kwingine kote kanyoosha na tushaujua ukwel ambao uliacha maswal mengi
Diamond sio msanii mwenzie?unafiki wake nini yeye kwa mda ule alikua upande wa Harmonize msanii mwenzie hapo unafiki uko wapi?
Huniwezi kiserikali,uchawi na kimziki[emoji2]He stand alone against big media tycoon and win the battle.Kingereza chako hovyo kama unabisha lete mkono tushindane.
Tatizo utimu umekuathir Sana mm sipo huko nazungumzia fact ,Domo Ana roho ya kukunja na hiyo roho kapewa na salamKwahyo mkiujua huo ukweli ndo huyo Mmakonde mwenzako atafanya vzr kimziki
Kama hawezi vita nenda kamwambie aache muziki na atulie kama wenzake walivyoona ngoma ngumu huyo Sijui sheta, dimpoz na maboko na wakaamua kuachana na muziki na wala nchi haimtegemei kwenye suala la muziki
Ni muda wa kuvuna korosho huko Ntwara
Diamond abadilike au wakati utambadilisha
Mwanamuziki wa kizazi kipya, Harmonize afunguka kuhusu mkataba alioingia na WCB amesema alikuwa akipewa 40% ya mapato yoyote anayoingiza na WCB kuchukua 60% ameamua kuelezea hayo yote kutokana na watu kuwa dhana ya kwamba yeye ni msaliti. Amesema alifanyiwa fitna nyingi zilizopelekea yeye kuondoka kwenye record label hiyo.
Amesema management nzima ya WCB walikuwa wanamuogopa yeye (Harmonize) kwamba anaelekea kumshinda Diamond Platnumz kimuziki, amenongezea pia baba yake Harmonize alivyokuwa akija kumtembelea nyumbani WCB walikuwa wanasema kwamba alikuwa anakwenda kumroga Diamond.
Harmonize ameongezea pia alikwenda Nigeria kwa gharama zake kufanya collabo na Reekado Banks nchini Nigeria na akakatwa dola 5000 na WCB. Alipoona fitna zimezidi alijaribu kutafuta amani lakini ilishindikana, amesema mkataba wake na WCB alishauriwa na Joseph Kusaga kwamba akitafuta mwanasheria asingelipa chochote lakini hakutaka kupambana kwa njia hiyo na akaamua kulipa hela tu (Milioni 600) ili tu kupata amani.
Roho mbaya ndio msingi wa mafanikio na ukilegeza tu moyo hutoboiTatizo utimu umekuathir Sana mm sipo huko nazungumzia fact ,Domo Ana roho ya kukunja na hiyo roho kapewa na salam
Hakuna mtu atakaa katika peak ya juu maisha yake yoteDiamond abadilike au wakati utambadilisha