Haya tuma salamu kwa mataga 50 wa madale popote walipo.Uzi kwa ajili ya Diamond Platnumz.
Jina lenyewe ukilitamka linatisha.
Jina limewapa rizki vijana wa kutosha.
Bila ili jina hutoboi hapa mjini.
Aisee huyu mmakonde amejua kuwaaacha uchi hawa mataga wa madale.Konde boy Kapiga kwenye mshono mmejaa mhaho
Anatafuta kuongelewa baada ya album kubuma na shows kubuma.Konde boy Kapiga kwenye mshono mmejaa mhaho
Album imebumaje, Ebu nifafanulie kitaalamu album kubuma inakuaje yani?Anatafuta kuongelewa baada ya album kubuma na shows kubuma.
Sehemu pekee anaweza zungumziwa ni kumshambulia Diamond
Konde Boy Mdomo mali yake, amejua jinsi ya kuutumia.aisee huyu mmakonde amejua kuwaaacha uchi hawa mataga wa madale.
kill me ma bebiiiSijasikiliza hata nyimbo zake....ndo kile kiingereza cha ago kill u??? Akankill ma self???
nyie wenye big shule mmefanyaje π₯²π₯²π€£Tatizo shule ndogo yule muha[emoji848]
"Mambo yanakwenda kasi sana, joto linazidi kukimbiza huku jua likichoma kishenzi. Wakati tukifikiria ni kwa namna gani tunaweza kusurvive huku maji na umeme vikiwa shida, wasanii nao wanaibuka na mambo yao, yaani ni shida juu ya shida." hahahaha yaaani vurugu mechiiiMambo yanakwenda kasi sana, joto linazidi kukimbiza huku jua likichoma kishenzi. Wakati tukifikiria ni kwa namna gani tunaweza kusurvive huku maji na umeme vikiwa shida, wasanii nao wanaibuka na mambo yao, yaani ni shida juu ya shida.
Haya! Wengi mmeniambia nije na makala kuhusu jambo hilo, basi niseme ninakuja na hii makala,
Utakuwa Muha si bure[emoji38]nyie wenye big shule mmefanyaje π₯²π₯²[emoji1787]
yap mie muha, nyie wasomi but mmefanyaje paka sasa hivi na elimu zenu kubwa π π πUtakuwa Muha si bure[emoji38]
Yugo kill mekill me ma bebiii
Harmonize ni mchawi na kaisha ona anguko lake, pia ni roho mbaya, mfitinishi na mzandikiWatu unaowasaidia wengi hugeuka Maadui π€
Huyu Harmonize Ndio alilia Kwa Suprise ya Mond pale Dar Live
Halafu hii siku Diamond alipiga Ndege Wawili Kwa Jiwe Moja Alienda Kwa Davido
Baadae Akaenda kumsupport harmonize na Dogo Mpaka Machozi yalimtoka
Leo WCB wamekuwa Wabaya πββοΈ
Tumefanya makubwa sio mpaka tuje kutangaza humu ok boss?yap mie muha, nyie wasomi but mmefanyaje paka sasa hivi na elimu zenu kubwa [emoji28][emoji28][emoji28]