dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
Duhh,we jamaa kiboko,ila umeongea point nashangaa watu kusema domo kaiweka serikali mfukoni kwa kipi hasa alichonacho,kama ni hivyo basi MO atakuwa kaweka serikali zote za afrika mashariki na kati kwa mfuko maana ana pesa mara 1000000 ya zile alizonazo domo ni kujitoa akili kishabiki maandazDiamond asidanganye lolote kuhusu serikali hawez kuiweka mfukoni. Serikali ya tanzania as idharirishe kiwango hk. kifedha pia Hana hela za kutisha, kiuchawi labda huo wa kumlala mama yake.... Ndio maana Zai akaona tusitoane roho na mama mkwe kisa........