Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Juma lokole so na wewe umeanza kuandika mistari ama umeiba humo ofisini kwenu
 
sijawahi kukushuhudia ukiandika ujinga kupindukia Kama huu ....angalia mkuu uwe makini
 
yaani serikali ipoteze muda kuingilia ugomvi ya vimburukutu vilivyolewa umaarufu vinavyopiga picha za ngono na kutambishana wanawake? hao ni watu wa umuhimu gani kwa nchi hata kusumbua serikali kuwafikiria?
 
serikali iache kudili na masuala ya maana ianze kuhangaika na wasanii we jamaa kumbe wakat mwengine una tumia Masabuli kufikiria

ushawahi sikia serikali ya Us kuingilia ugomvi wa eastcoast na west coast?
Serikali ina Taasisi zake kama BASATA zimeundwa kwa ajili ya wasanii ndo maana unaona wengine wanafungiwa nyimbo,kwahiyo wewe ndo unaonyesha ukilaza
 
yaani serikali ipoteze muda kuingilia ugomvi ya vimburukutu vilivyolewa umaarufu vinavyopiga picha za ngono na kutambishana wanawake? hao ni watu wa umuhimu gani kwa nchi hata kusumbua serikali kuwafikiria?
Sasa Mbona Rais wa hiyo serikali aliingilia ?
 
Pole mmakonde tunajua washindani wako mond na rayvanny walikuwa huko pia,show zako US zilidorora kuliko za wenzako.Pambana na wewe uitwe kutumbuiza MTV AWARD ili uwe kama alivyofanya Vanny kule Hungary fitina hazikusaidii huko sio TZ.
 
Kiukweli nimesikitishwa sana maneno kama hayo kutolewa na msanii ambaye ni public figure, na kwa mujibu wa harmonize anadai kua hayo maneno yali rekodiwa na mpaka saizi anayo
Kunatime mtu anakukela mpaka unatoa maneno ambayo hayakustahili, jua sio bure mtu aanze tu kukuambia hayo yote, yaweza kuwa harmo kunakauli aliitoa mpaka akajibiwa hvyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…