Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Miaka miwili iliyopita, Harmonize aliachana na lebo ya WCB, akasema menejimenti ya WCB ilimtaka staa huyo wa umakondeni alipe Sh500 milioni aweze kung’oka.

Ametumbua jipu, kwamba ilibidi auze nyumba zake tatu apate pesa za kuwalipa WCB. Kwamba yalikuwa masharti ya mkataba, Harmonize akitaka kuondoka WCB, alipe Sh500 milioni na gharama za utengenezaji wa nyimbo zote.
Hata huyo Diamond alikuwa maskini sana bila support ya watu sahihi asingekuwa hapo alipo, kum classify Harmonise kwa umasikini wake nafikiri hapo hamko sahihi
 
Hakuna Harmonize bila WCB. Tunayofursa ya kwenda mbinguni bali pia ni wajibu kukiri matendo ya Yesu kristo kumkubali utetezi wake juu yetu pale msalabani. Huyu mbilikimo konde he was no body no body at ll.

Usnitch wa mmakonde na wamakonde watz wengi hawaujui. Poleni sana. Mmakonde alishawishiwa atoke ili watu wamwangushe Mondi ila kwa nguvu za Mungu wameshindwa. Mungu baba wa kweli amesimama na Mondi na Mondi anaipaisha Tz.

Mungu aendelee kumpa baraka tele na maisha marefu Mondi.

AllahAkbar!!
 

Miaka miwili iliyopita, Harmonize aliachana na lebo ya WCB, akasema menejimenti ya WCB ilimtaka staa huyo wa umakondeni alipe Sh500 milioni aweze kung’oka.

Ametumbua jipu, kwamba ilibidi auze nyumba zake tatu apate pesa za kuwalipa WCB. Kwamba yalikuwa masharti ya mkataba, Harmonize akitaka kuondoka WCB, alipe Sh500 milioni na gharama za utengenezaji wa nyimbo zote.
Chawa wa Mondi tulia . Tumeshampitisha #Harmonize kuwa ndiyo mpambanaji wa ukweli. Huyo mla unga na bingwa wa walozi hatumtambuui tena Mkuu.
 
Chawa wa Mond wameanzisha Uzi wanaitana kutema povu. Kifupi boss wenu ana roho mbaya MLA nganda na mchawi maarufu. Ngoja wale wa nembo za cross ya visu na majoka wakasirike uone mambo. Mond anatumia extra ordinary power kuwa alipo. One time atafeli vibaya Sana. Temeni povu kwa post zangu mbili hizi
 
Ni tendo la kukubaliana na anachosema mhusika! Ndio maana hata watu wakipatana hupeana mikono
Kwa muktadha wa tukio husika Harmo angekubali kutoa mkono angetangaza vita rasmi Mondi
Mkuu mshana kwanza heshima yako broh, hata kabla sijawa member rasmi humu jf huwa nafatilia sana kila post na coment zako zote huwa zinanijenga sana... Uzidi kuishi maisha marefu aicee
 
Hakuna Harmonize bila WCB. Tunayofursa ya kwenda mbinguni bali pia ni wajibu kukiri matendo ya Yesu kristo kumkubali utetezi wake juu yetu pale msalabani. Huyu mbilikimo konde he was no body no body at ll. Usnitch wa mmakonde na wamakonde watz wengi hawaujui. Poleni sana. Mmakonde alishawishiwa atoke ili watu wamwangushe Mondi ila kwa nguvu za Mungu wameshindwa. Mungu baba wa kweli amesimama na Mondi na Mondi anaipaisha Tz.

Mungu aendelee kumpa baraka tele na maisha marefu Mondi.

AllahAkbar!!
daah,

umeandika pumba mwamba!
 
Harmonize hajalalamika huo mkataba au hiyo 600 ila alichokua analalamika ni fitina,majungu na roho mbaya za hao jamaa maana alipokua nao na kuanza kushine walisema anamloga boss wao, alipotaka kutoka hawakutaka atoka wakamwekea ngumu akafosi lakini bado wanamfuatafuata
 
Miaka miwili iliyopita, Harmonize aliachana na lebo ya WCB, akasema menejimenti ya WCB ilimtaka staa huyo wa umakondeni alipe Sh500 milioni aweze kung’oka.

Ametumbua jipu, kwamba ilibidi auze nyumba zake tatu apate pesa za kuwalipa WCB. Kwamba yalikuwa masharti ya mkataba, Harmonize akitaka kuondoka WCB, alipe Sh500 milioni na gharama za utengenezaji wa nyimbo zote.

Umemaliza kazi! Huu mjadala ufungwe rasmi hapa.
 
Swali alilazishwa...jibu hapana...basi kesi kwisha kama mtu amewezeshwa ili aweze kuvua samaki basi hata hiyo mia sita ndogo sana alipaswa aambiwe trilioni 8 huo ndio ulipaswa kuwa mkataba halali
 
Back
Top Bottom