JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Aaah wapi,bila Mond,Konde boy angetoka wapi!?Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Mkuu wapi ambako hakuna unyonyaji?Nimefatilia instagram yake naona wafuasi wameongezeka. Hata views za promo ya huu wimbo una views zaidi ya 200K.
Kiufupi Harmo kawa mjanja kuliko Mavoko. Kule kuna unyonyaji ila sasa utatokaje kama huna hela?
Ashukuru Mungu hizo nyumba zimemuokoa
Jidanganye tu, maana mondi ndio kampa kipaji cha kuimba? Konde wakati anakashifiwa pale bongo star search alikuwa amepeleka kipaji cha upishi? Konde ni kama Mesi anasajiliwa na timu kubwa kwa kuwa ana kipaji. Mtasubiri sana aanguke lakini hamtashuhudia hilo kabisa.Aaah wapi,bila Mond,Konde boy angetoka wapi!?
Ametusua kupitia mgongo wa Mond
Utatuweza wabongo hata hajasikiliza huyo kakutana na uzi kaanza kucomment tu.Umesikiliza interview kwel au unasoma umbea wa insta
Kama umesikiliza hii interview na bado una matatizo na harmonize bas ww inabid ukapime akili
mtu maskini wa akili utamjuwa tuu yaani we una mamlaka ya kumzuia mtu asiseme kinachomhusu we nani, konde boy funguka mwananbu nothing to fearAfunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
nawewe ni sawa na huyo hao wote ni wamakonde usianze ubaguzi wa wapi katoka wewe tetea kabila lako usiangalie alikotoka usubwada sanaacha umama wewe,usifananishe mmakonde wa chitoholi na mmakonde wa Mtwara mjini shubamiti
yani ndiyo wanapiga nyimbo za hao wasanii wawili tu tz nzima??Ko sa hv clouds wapo na kiba pamoja na harmonize!!!!anyways tusubr tuone
Kabisa yan yy anafanya vitu kwa faida yakeJana Nimemwona QBoy Amebaki Kuwa Kinyozi Tu, Kariakoo !
Domo Ukimchekea Utabaki Kupata Tu Sifa Mitandaoni, Mademu, Na Show Offs.
Ukichokwa Unapigwa Chini, Unapotea.
Harmonize Kashtuka Mapema. Anaweza Kuinuka
Aachane na siasa!! Keshakuwa mwanamziki mkubwa....Akihojiwa na Clouds FM kwenye XXL amesema imemlazimu kulipa million 500 ili kuvunja mkaba na Kampuni ya Wasafi.
Amesema kampuni ya Wasafi walimzuia kutumia chochote kilichotokana na Wasafi ikiwemo nyimbo zake ,akaunt za mitandao ya kijamii na mengineyo.
Ili kuendelea kutumia nyimbo hizo imemlazima kulipa milion 500, amesema kuwa ameuza nyumba zake tatu na baadhi ya aseti na yupo kwenye hatua za kumalizia deni lake ili aweze kupiga nyimbo zake popote pale.
Kuhusu kugombea ubunge amesema kauli ya Rais ni kama sheria hivyo yupo tayari kutekeleza agizo la mheshimiwa.
2020 Harmonize mjengoni.!
Ameongeza kuwa ugomvi wa Vyombo vya habari unarudisha mziki nyuma.
Amewekea mfano Whozu na Marioo kuwa ni wasanii ambao wanashindwa wasimame na media ipi.
Hapa inaonesha kuna wasanii wengi wanapenda kushirikiana Wasafi fm ila wanaogopa kutengwa na Clouds.
Mavoko hana ujinga wa kulipa 😂😂hajatoa hata dalaMavoko Kawalipa Ngapi ?
Mashabiki Wa Domo Hamna Akili
Yaani wewe chokoraa wa Jamii Forum unamuona harmo kachanganyikiwa !!!Ukimsikiliza vizuri dogo Harmonize tayari asha haribika kisaikolojia ( Kachanganyikiwa).
Eti kauli ya Raisi ni sheria, yaani Mie umenipa sifa nimefanya vizuri.. Kwanini na mie nisikupe Sifa hata Kinafiki.
Clouds wanazidi kumpoteza Huyu kijana, Hicho chakula ndio Kabisa.. Wanakula wanapotea.
Uzuri Korosho itasimamiwa vizuri.. Atajipatia Kipato huko
Labda kama mgeni mualikwa, Mbona hata pierre ( Chiii) Kaingia mjengoni hakuna cha ajabu hapodogo una ki wivu flani katika maandishi yako una hakika gani sifa za raisi kwa konde ni za kinafiki
mwakani konde boy mjengoni ikuume vzr