Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Aaah wapi,bila Mond,Konde boy angetoka wapi!?
Ametusua kupitia mgongo wa Mond
 
Nimefatilia instagram yake naona wafuasi wameongezeka. Hata views za promo ya huu wimbo una views zaidi ya 200K.

Kiufupi Harmo kawa mjanja kuliko Mavoko. Kule kuna unyonyaji ila sasa utatokaje kama huna hela?
Ashukuru Mungu hizo nyumba zimemuokoa
Mkuu wapi ambako hakuna unyonyaji?
 
Aaah wapi,bila Mond,Konde boy angetoka wapi!?
Ametusua kupitia mgongo wa Mond
Jidanganye tu, maana mondi ndio kampa kipaji cha kuimba? Konde wakati anakashifiwa pale bongo star search alikuwa amepeleka kipaji cha upishi? Konde ni kama Mesi anasajiliwa na timu kubwa kwa kuwa ana kipaji. Mtasubiri sana aanguke lakini hamtashuhudia hilo kabisa.
 
acha umama wewe,usifananishe mmakonde wa chitoholi na mmakonde wa Mtwara mjini shubamiti
nawewe ni sawa na huyo hao wote ni wamakonde usianze ubaguzi wa wapi katoka wewe tetea kabila lako usiangalie alikotoka usubwada sana
 
Jana Nimemwona QBoy Amebaki Kuwa Kinyozi Tu, Kariakoo !

Domo Ukimchekea Utabaki Kupata Tu Sifa Mitandaoni, Mademu, Na Show Offs.

Ukichokwa Unapigwa Chini, Unapotea.

Harmonize Kashtuka Mapema. Anaweza Kuinuka
Kabisa yan yy anafanya vitu kwa faida yake
 
Aachane na siasa!! Keshakuwa mwanamziki mkubwa....

Yaani kwa wimbo mmoja tu wa kumsifu na kumuabudu jiwe anaonekana anaweza ubunge!? Mbona tunakuwa wajinga hivi!!!
 
Yaani wewe chokoraa wa Jamii Forum unamuona harmo kachanganyikiwa !!!


Umute unaishi kwa dada yako unakula matunda ya jitihada za dada yako chumbani.
 
dogo una ki wivu flani katika maandishi yako una hakika gani sifa za raisi kwa konde ni za kinafiki

mwakani konde boy mjengoni ikuume vzr
Labda kama mgeni mualikwa, Mbona hata pierre ( Chiii) Kaingia mjengoni hakuna cha ajabu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…