Harmonize rasmi amuimba Kabwili kipa wa Yanga

Harmonize rasmi amuimba Kabwili kipa wa Yanga

Kabwili amfungulie Kesi ya kumchafua.
Sasa hapo anamshtaki kwa lipi,harmonize akiulizwa mahakamani atasema alikuwa anamaanisha "usidake mpira vizuri kama kabwili utaharibu utamu wa mpira"na kesi inaishia hapo kwani kuna sehemu amesema kabwili ni shoga au ni nyinyi wasikilizaji ndio mna mawazo yenu ya kingono ngono!!
 
Huyo Harmonize aache kutafuta kiki kwa kijana kwa tuhuma ambazo hazina ushahidi wa moja kwa moja dogo akimfungulia kesi ya kumchafua asije baadae akaanza kuitisha press za kutia huruma
Unazani kwanini kabwali hawekwi ata Reserve game za yanga?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Yani siku hizi mambo yanashangaza huu wimbo umejaa maneno machafu. Nashangaa eti wanaouperform mbele ya watu wazima na redioni unapigwa.

Sijui kwanini nyimbo siku hizi zina maneno ya ngono tu
Basata wako gizani kwenye kakona wale Dabyusibii wakiji changanya tu wanacho cha uso😄
 
Huyo Harmonize aache kutafuta kiki kwa kijana kwa tuhuma ambazo hazina ushahidi wa moja kwa moja dogo akimfungulia kesi ya kumchafua asije baadae akaanza kuitisha press za kutia huruma
Hivi Kabwili yupi katajwa hapo.
 
Unazani kwanini kabwali hawekwi ata Reserve game za yanga?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwani kabwili kuwa Gay na u golikipa wake unahusu nn? Kwani wale wachezaji wengine wao hawafanyi mapenzi? Kila mtu na hisia zake ktk masuala ya mapenzi, sio kupangiana. Lol.
 
Huyo Harmonize aache kutafuta kiki kwa kijana kwa tuhuma ambazo hazina ushahidi wa moja kwa moja dogo akimfungulia kesi ya kumchafua asije baadae akaanza kuitisha press za kutia huruma
Ooooh izo ni zama za kale

Yaleyale ila ni mwendo wa kujisahaulisha tu.......
 
Kwani kabwili kuwa Gay na u golikipa wake unahusu nn? Kwani wale wachezaji wengine wao hawafanyi mapenzi? Kila mtu na hisia zake ktk masuala ya mapenzi, sio kupangiana. Lol.
Kwani kwenye comment yangu nmezungumzia lolote kuhusu Ayo mambo yake au nimehoji why hajumuishwi kikosini?
 
Kwani kwenye comment yangu nmezungumzia lolote kuhusu Ayo mambo yake au nimehoji why hajumuishwi kikosini?
Hebu angalia statement yako japo ipo ktk mfumo wa swali, ba ungalie uliye mquote kazungmza nn, nwei sio case.
 
Huyo Harmonize aache kutafuta kiki kwa kijana kwa tuhuma ambazo hazina ushahidi wa moja kwa moja dogo akimfungulia kesi ya kumchafua asije baadae akaanza kuitisha press za kutia huruma
Kwani harmonize alimaanisha kabwili yupi?

Au uyo kabwili wa yanga ana hatimiliki ya Hilo jina peke yake?
 
Kabwili afungue mashtaka, hiyo ni kesi ya udhalilishaji

Na itakuwa fundisho kwa wasanii wengine wanaoharibu wasifu wa watu ili wa hit kwenye ngoma zao
Afungue mashtaka kwa ushahidi upi mkuu? Hivi unadhani kumshtaki mtu kwa udhalilishaji ni rahisi hivo
 
Kuna faida gani kumdalilisha mwenzako irimradi tu tu u gain fame ya kijinga? ndio maana hua sikapendi haka ka mbilikimo
 
Hebu angalia statement yako japo ipo ktk mfumo wa swali, ba ungalie uliye mquote kazungmza nn, nwei sio case.
Kuna mtu huko nimemfunulia siri kuwa hata Adolf Hitler alikua Gay hakuamini.
 
Back
Top Bottom