Harmonize rasmi amuimba Kabwili kipa wa Yanga

Yani siku hizi mambo yanashangaza huu wimbo umejaa maneno machafu. Nashangaa eti wanaouperform mbele ya watu wazima na redioni unapigwa.

Sijui kwanini nyimbo siku hizi zina maneno ya ngono tu
Kabisa mkuu
 
Utaskia naiinamia sijui naikatikia, nipe karoti sijui mwagia ndani yaani ni ushenzi mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…