Ni ngumu sana kuwachunga watoto, mimi mwanangu ni mwendo wa channels za katuni lakini nashangaa anafahamu nyimbo nyingi sana. Nikimuuliza anasema anasikia kwenye school bus na wanafundishwa shuleni.
Potelea karibu ila home hakuna kutazama channels za miziki maana mtu huna hakika wimbo unaofuata watakuwa wanaimba nini.
90% ya nyimbo wanaimba ngono tu