kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Hatimae msanii Harmonize rasmi ameachia wimbo alioshirikishwa na kundi la mabantu remix inaitwa Utamu, katika wimbo huo wa utamu remix Harmonize amesema kuwa ukimletea mambo ya kabwili unapunguza utamu[emoji1]
Ikumbukwe mchezaji huyo wa yanga ameandamwa na skendo ya ushoga kitu ambacho kimewafanya mashabiki wake kupata sitofahamu
Ikumbukwe mchezaji huyo wa yanga ameandamwa na skendo ya ushoga kitu ambacho kimewafanya mashabiki wake kupata sitofahamu