Harmonize tumekushtukia

Una uhakika mond ni "mjenzi huru" au unaropoka tu unao ushahidi au ni story za vijiweni ?
Ukitaka kujua namaanisha nini kusema mjenzi huru, kamuulize mzazi wako wa kike maana tulikuwa nae hapo kijiweni.
 
Mond alivyo toka alitoa moyo wangu wengi walimponda na ulipata mapokezi mabaya badaee ndowatu wakauelewa maana aliimba style ambayo watu hawajamzoea
 
Ukifatilia wanaosema kondeboy hajui nimashabiki wa wcb tu hawajui kama ndowanazidi kumpanisha juu kondeboy ni hot cake kwasasa ..
 
Nyie wote najua ni timu domo ndio maana mnamponda harmo ila sisi team kiba tutamsapoti hadi mwisho[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji38][emoji38][emoji38]
Msaidieni sasa

Mmemuua kibakuli kwa ushabiki wenu wa kimaandazi alafu mnataka kumpoteza tena harmonize

Wapambe ni watu wabaya sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…