Hata hivyo Dodo iliingiza viwers 1m muda Fulani sasa hivi narudi kuangalia imeshuka hadi laki 7.sijui tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo Dodo iliingiza viwers 1m muda Fulani sasa hivi narudi kuangalia imeshuka hadi laki 7.sijui tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio yeye pekee hiyo imemtokea nandy, baraka pamoja na darassa
Wewe unahisi ni Nini au tusubiri waatalamu watuambie maana hili lilimkutaga baraka the prince, nandy pia na darassawatu wakisema inakua tabu
aisee[emoji2297]
Wewe unahisi ni Nini au tusubiri waatalamu watuambie maana hili lilimkutaga baraka the prince, nandy pia na darassa
wewe ndio humuelewi wengine wanamuelewaBora alikiba
Diamond anaimbia jina tu ila anachokiimba anakijua mwenyewe, mashabiki hatumuelewi
😃😃😃😃😃😃😃 Ila hiyo avatar yako duh!tusubiri tusije kutukanwa tukaambiwa tufiche upumbavu wetu[emoji23][emoji23]
Wewe na Innocent tuwewe ndio humuelewi wengine wanamuelewa
Kama angekuwa wanamuelewa ni huyo na Innocent tu?unazani ngoma zingekuwa zinafanya vizuri?Wewe na Innocent tu
Sikuizi ngoma nzuri inapimwa kwa viewers na kukaa no 1 trending mda mrefu[emoji23]
Wewe unahisi ni Nini au tusubiri waatalamu watuambie maana hili lilimkutaga baraka the prince, nandy pia na darassa
Hamisa hajawah kuwa maarufu kuliko ALI KIBA mkuu tutolee upupu wako.Hapo ulivyosema Diamond na kiba wanapendwa kwanza wao mziki ndo unafuata hapa nakuunga mkono ila kuhusu ngoma mpya ya kiba nazani imebustiwa na umaarufu wa hamisa mobetto kuliko ngoma yenyewe na kiba mwenyewe ukitaka kujua Hilo hiyo ngoma ndani ya wiki moja itakuwa kaburini.
On point na ana wimbo na CHRISTIAN BELLA angeubust ule kwanzaIla unapo sema umaarufu wa amisa mobeto ndio umeipush hii nyimbo unasahau kwamba hamisa mobeto nae ni msanii na anatoaga nyimbo kibao why asizibust nyimbo zake mwenyewe aweze ya kiba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi MOTO.Bora alikiba
Diamond anaimbia jina tu ila anachokiimba anakijua mwenyewe, mashabiki hatumuelewi
Mkali?..ile live band tupu ya siku ya uzinduzi tuliangalia tu Basi tujue kinachoendelea mjini bt upupu mtupu hana uimbaji wa kumzidi Ali yeye hata boss wake wa zamani hamna waimbaji pale tena Ali mbali Belle 9 tu kawaacha 1000 miles.Kwa sasa Harmonize ni mkali kuliko Alikiba, hilo lipo wazi kabsa.
Mbna yake na Bella haijawah kutrend kama issue ni mashabiki mzee?Hamisa ni mtu mwenye mashabiki wengi lakini mashabiki wake sio wapenzi wa mziki ni Kama ilivyo kwa Zari yaani kiufupi ni socialite ndomaana nikakuambia after one week ngoma hiyo ya kiba itapotea ikisurvive tutaamini Kuna nguvu ya kiba kitu ambacho sitarajii.
Alianza nae kwenye hatuna habari nao kipindi ww na chibu hamchagui pa kunya.Wewe ndo humuelewi usitusemee wote sawa, alafu naunga mkono hoja ya kuwa alikiba katrend kwa sababu ya kumtumia hamisa mobeto na inajulikana mobeto ni x wa chibu, ndo maana kashindwa hata kufikisha views milioni 1 ndani ya saa 24
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo wabongo kaka sema mashabiki wa WCB.Kufikisha views M1 sio kipimo cha kazi nzuri . Wabongo mnakwama wapi kwenye kuchanganua mambo kisomi zaidi?