Gef
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 500
- 433
Bongo kidizain weng wanafake yy yupo real hapend show off na mavitu yenye hawez kufikia and its nice person kuwa real mbn mm natumia toyota voltz ya 2017 na nafika club bila kendembweSalute Jf.
Am tell u brother unatumia gari zuri land cruiser V8 lakini series J200 yake yakizamani bro Hilo toleo lilianza kutumika 2007 hadi 2010.
Embu jaribu kufanya upgrade basi unaonekana local Sana bro naamini humu ndani Konde Gang manegment wako watakuwepo Kama umeufungua huu uzi fanyie kazi hili swala.